DIDAS TUMAINI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 242
- 676
Katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani, mechi kati ya Ufaransa na Korea kusini iliisha kwa sare ya 1-1. Mechi hii ilichezwa katika uwanja wa timu ya RB Leipzing (Leipzing Arena) timu inayoshiriki ligi kuu nchini Ujerumani Bundesliga.
Kitendo cha timu ya Ufaransa kutoa sare ya 1-1 na timu ya Korea Kusini kilimkera sana gwiji Zinadine Zidane na kwa hasira kali alipiga TEKE mlango wa chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
Meno ya viatu vya zidene yaliacha alama kwenye ule mlango. Lakini kwa mshangao, management ya uwanja wa Leipzing hawakufanya UKARABATI kwenye ule mlango na kinyuma chake walipazungushia eneo lile frame ya GOLD na kulifanya kuwa sehemu ya MAKUMBUSHO ndani ya Leipzing Arena.
Na mpaka leo hii eneo lile ni sehemu ya kivutio katika uwanja wa Leipzing.
Legend never Die.
Didas Tumaini
Kitendo cha timu ya Ufaransa kutoa sare ya 1-1 na timu ya Korea Kusini kilimkera sana gwiji Zinadine Zidane na kwa hasira kali alipiga TEKE mlango wa chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
Meno ya viatu vya zidene yaliacha alama kwenye ule mlango. Lakini kwa mshangao, management ya uwanja wa Leipzing hawakufanya UKARABATI kwenye ule mlango na kinyuma chake walipazungushia eneo lile frame ya GOLD na kulifanya kuwa sehemu ya MAKUMBUSHO ndani ya Leipzing Arena.
Na mpaka leo hii eneo lile ni sehemu ya kivutio katika uwanja wa Leipzing.
Legend never Die.
Didas Tumaini