Je, Wajua hili?

Je, Wajua hili?

Hell is real

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2021
Posts
204
Reaction score
364
Habari wakuu !!

Je, unajua kuwa mji wa mbinguni kuna maghorofa yenye urefu wa mile 500,000 sawa na kilometa 804,450????

Ufunuo wa Yohana 21:16 Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa. Yohana 21:23 Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-Kondoo. Ufunuo wa Yohana 21:24 Na mataifa watatembea katika nuru yake.

Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake. Ufunuo wa Yohana 21:25 Na milango yake haitafungwa kamwe mchana; kwa maana humo hamna usiku. Ufunuo wa Yohana 21:27 Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
 
Habari wakuu !!

Je, unajua kuwa mji wa mbinguni kuna maghorofa yenye urefu wa mile 500,000 sawa na kilometa 804,450????

Ufunuo wa Yohana 21:16 Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa. Yohana 21:23 Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-Kondoo. Ufunuo wa Yohana 21:24 Na mataifa watatembea katika nuru yake.

Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake. Ufunuo wa Yohana 21:25 Na milango yake haitafungwa kamwe mchana; kwa maana humo hamna usiku. Ufunuo wa Yohana 21:27 Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
Hivi ni vipimo vya kiroho sio vya kimwili.. Kwakuwa mbinguni hauendi mwili bali roho.. Vipimo vya kiroho ni vikubwa sana kwa mfano akili ukiamua kuipima kiroho ukubwa na uzito wake ni zaidi ya tujuavyo
 
Hivi ni vipimo vya kiroho sio vya kimwili.. Kwakuwa mbinguni hauendi mwili bali roho.. Vipimo vya kiroho ni vikubwa sana kwa mfano akili ukiamua kuipima kiroho ukubwa na uzito wake ni zaidi ya tujuavyo
Wataalam wa maandiko wanasema kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mambo ambayo yameshatokea tayari huko nyuma, style ya mafumbo yake ilikuwa na lengo la kumficha yule mpinga kristo ambaye alikuwapo huko nyuma kitambo.

Kwahiyo hoja ni kwamba hicho kitabu hakizungumzii mambo yajayo.
 
Back
Top Bottom