Je, wajua kua Bibilia ndio kitabu kinachoongoza kwa maandiko ya ukatili?

Je, wajua kua Bibilia ndio kitabu kinachoongoza kwa maandiko ya ukatili?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Katika uchambuzi, imeonesha kua biblia ndio kitabu kinachoongoza kua na maandiko yenye ukatili zaidi kuliko kitabu kingine chochote cha dini.
Mungu wa kwenye biblia amekua akiamrisha mambo ya ukatili mkali.

moja ya maandiko ambayo yanatumiwa hata na mayahudi wa sasa ni ule wa Samwel, akimalisha kuawa hata wasio na hatia.

1 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 2 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”

Mungu wa kwenye biblia anaupendeleo sana kwa wayahudi, huku wakristo wakiamini jamii fulan (Palastine) ni lazima wauwawe ili maandiko yatimie.

swali, kwanini Mungu wa kwenye biblia anataka binadamu wasio na hatia wateseke kwa kutimia maandiko?
 
Bible ni hazina ya jews, hata Yesu anasema "sikutumwa ila kwa wana wa Israel waliopotea"

Wengine nikujipendekeza tu coz it wasn't meant for them, that was not primary intention.
 
3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”

Mungu wa kwenye biblia anaupendeleo sana kwa wayahudi, huku wakristo wakiamini jamii fulan (Palastine) ni lazima wauwawe ili maandiko yatimie.

swali, kwanini Mungu wa kwenye biblia anataka binadamu wasio na hatia wateseke kwa kutimia maandiko?
Ukisoma sana biblia unaweza kuchanganyikiwa bora kushika mstari mmoja unaosema pendaneni kama nafsi zenu
 
Katika uchambuzi, imeonesha kua biblia ndio kitabu kinachoongoza kua na maandiko yenye ukatili zaidi kuliko kitabu kingine chochote cha dini.
Mungu wa kwenye biblia amekua akiamrisha mambo ya ukatili mkali.

moja ya maandiko ambayo yanatumiwa hata na mayahudi wa sasa ni ule wa Samwel, akimalisha kuawa hata wasio na hatia.

1 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 2 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”

Mungu wa kwenye biblia anaupendeleo sana kwa wayahudi, huku wakristo wakiamini jamii fulan (Palastine) ni lazima wauwawe ili maandiko yatimie.

swali, kwanini Mungu wa kwenye biblia anataka binadamu wasio na hatia wateseke kwa kutimia maandiko?
KILE CHA MABIKRA 72 UKIJILIPUA KILITOKEA KWENYE BIBLIA
 
Hakuna cha biblia wa quran hvy vp kwaajil kuogopesha watu na watu kupiga pesa
 
Bible ni hazina ya jews, hata Yesu anasema "sikutumwa ila kwa wana wa Israel waliopotea"

Wengine nikujipendekeza tu coz it wasn't meant for them, that was not primary intention.
Je, wale wa mataifa ni mwaliko au kujipendekeza?
 
Je, wale wa mataifa ni mwaliko au kujipendekeza?
Kama Mungu hakua na lengo nao tangu mwanzoni kwanini wawajibuke na hizo sheria?
Mungu kashindwa kuwapa hizo wale alowataka akaamua kujawaletea wanyonge.
 
Katika uchambuzi, imeonesha kua biblia ndio kitabu kinachoongoza kua na maandiko yenye ukatili zaidi kuliko kitabu kingine chochote cha dini.
Mungu wa kwenye biblia amekua akiamrisha mambo ya ukatili mkali.

moja ya maandiko ambayo yanatumiwa hata na mayahudi wa sasa ni ule wa Samwel, akimalisha kuawa hata wasio na hatia.

1 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye ambaye Bwana alinituma nikutie mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa Bwana. 2 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu Waamaleki kwa kile walichowatendea Israeli walipowavizia wakati walipanda kutoka Misri. 3 Basi sasa nenda ukawashambulie Waamaleki na kuwaangamiza kabisa pamoja na kila kitu kilicho mali yao. Usiwahurumie; waue wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ngʼombe na kondoo, ngamia na punda.’ ”

Mungu wa kwenye biblia anaupendeleo sana kwa wayahudi, huku wakristo wakiamini jamii fulan (Palastine) ni lazima wauwawe ili maandiko yatimie.

swali, kwanini Mungu wa kwenye biblia anataka binadamu wasio na hatia wateseke kwa kutimia maandiko?
Ukichukua kifungu kimoja kwenye Biblia utapoteza.

Hao watu walikua wanawatoa watoto wao kafara Kwa kuwachoma moto. Walikua waliamini miungu ya kipagani, waliwachuna watu ngozi na kuwatenganisha watu Kwa kuwaua kinyama na farasi.

Hukumu ya kale ilikua laana vizazi na vizazi hivyo kuona Mungu katoa hukumu ya hivyo walikua ni waovu Sana.

Mfano mwingine ni watawalanya Ninevah, Ninewi, Panaitwa Mosul, Iraq Kwa Leo Kule Yona alipotumwa, wale watu walikua na tamaduni hizo lakini Mungu aliwasamehe baada ya wao kubadili uelekeo wao.

Mungu ni Mungu wa neema sana. Wanadamu Kwa nafasi ya Mungu hatustahili kuishi kabisa lakini hata na maovu yote tunayotenda anatupa pumzi ya uhai na kutupa nafasi nyingine kumrudia yeye.
 
Kula nondo hii
ukimaliza kukosa Biblia Bado utarudi kuisoma maana Imani Yako ya Kiislam ilitokana ana Majini pangoni yalimbana shingo mtume wenu. Tangu lini Mungu amkunje mtu shingo amlazimishe jambo?
 
Hakuna cha biblia wa quran hvy vp kwaajil kuogopesha watu na watu kupiga pesa
Na hata ukisema hivyo, unajua
Wazi si Mwanadamu alieweka mwezi pale, au jus au kuweka ubongo ndani ya fuvu au samaki baharini.

Soma kwanza umjue Mungu ndio useme Biblia ni kitabu tu
 
Kama Mungu hakua na lengo nao tangu mwanzoni kwanini wawajibuke na hizo sheria?
Mungu kashindwa kuwapa hizo wale alowataka akaamua kujawaletea wanyonge.
Majibu ya maswali mengine tutayapata tukikutana nae mwenyewe. Hivyo tuwe na subira!
 
Back
Top Bottom