Je, wajua kuwa Tanzania ndio imeibeba Dunia?

Je, wajua kuwa Tanzania ndio imeibeba Dunia?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom.

Tanzania kuibeba Dunia, Hilo tu tayari ni HOJA fikirishi.

Kabla sijaenda ninakotaka kuelezea, ZIFUATAZO, ni sifa za Nchi hii ambazo, huwezi kuzipata Mahali pengine popote duniani katika macho ya kibinadamu katika Ulimwengu wa mwili.

1. AMANI
Pamoja na Nchi hii kuwa na makabila mengi kuliko Nchi nyingine yoyote duniani, Bado watu wa Nchi hii wameendelea kuishi kwa Amani.

2. UPENDO
Pamoja na tofauti za kiimani ,kitamaduni, nk nk,Bado Nchi hii unaweza kwenda popote na kupokelewa na yeyote popote na kukarimiwa.

3. UTAJIRI
Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU
Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.

5,6,7.......

Pamoja na sifa nyingi zinazoonekana Kwa macho, msingi wa Tanzania uko katika Ulimwengu usioonekana, na ndiko nitakapojikita zaidi.

Taifa hili, kama Kuna Nchi ambayo Mungu anaangalia Kwa ukaribu duniani baada ya Israel ni Tanzania.

Baada ya Messiah kuja duniani katika mwili wa mwanadamu, Alianza kuhubiri INJILI katika Israel, na akateua mitume, wanafunzi kuhubiri INJILI duniani kote,

INJILI hiyo imehubiriwa katika mataifa mbalimbali Kwa njia ngumu sana, wengi wa wanafunzi wa Yesu na wapeleka INJILI waliuawa na kukataliwa, na Kwakuwa, INJILI wanayoihubiri asili yake ni mbinguni, Dunia haikuipokea Wala kuwapokea wahubiri INJILI Kwa kiasi kikubwa.


KIVIPI TANZANIA IMEIBEBA DUNIA?

Kuibeba Dunia ni kufanyika LANGO. VIASHIRIA vyote nilivyoyaja pale juu, ni matokeo ya nchi hii kuwa center ya Amani na mazuri yote ambayo hupita na kubariki Dunia nzima.

1. KANISA LA MWISHO LITAKUSANYWA KUTOKEA TANZANIA.
Hapa katika Nchi hii, lile Kanisa la kwanza lililotawanyika Kutoka Israeli kwenda mataifa mbalimbali kuhubiri INJILI, litajikusanyia tena Kutokea hapa kwenda kuhubiri INJILI ya ufalme Kwa mataifa yote.

Kama ni mtu wa Roho, tayari harakati hizo zimeanza kuonekana.

Nitaendelea.........
 
Mwendelezo wa hoja,

5. Rushwa (Source CAG)

6. Wizi wa mali za umma (Source CAG)

7. IQ ndogo ( Source angalia hoja za
wasomi wetu).

8. Uchawa ( Source Lucas mwashambwa )

9. Uchawi ( Source wanasiasa, simba vs yanga)

10. Kuhendekeza umbeya na masengenyo badala ya kazi ( Source fuatilia tabia za watu wa pwani, wanaume ni wambeya kuliko wanawake).

11. Umasikini uliotopea ( Source I.M.F)

Kwa hoja hizo hakika tunaibeba dunia
 
Salaam, Shalom.

Tanzania kuibeba Dunia, Hilo tu tayari ni HOJA fikirishi.

Kabla sijaenda ninakotaka kuelezea, ZIFUATAZO, ni sifa za Nchi hii ambazo, huwezi kuzipata Mahali pengine popote duniani katika macho ya kibinadamu katika Ulimwengu wa mwili.

1. AMANI.

Pamoja na Nchi hii kuwa na makabila mengi kuliko Nchi nyingine yoyote duniani, Bado watu wa Nchi hii wameendelea kuishi kwa Amani.

2. UPENDO.

Pamoja na tofauti za kiimani ,kitamaduni, nk nk,Bado Nchi hii unaweza kwenda popote na kupokelewa na yeyote popote na kukarimiwa.

3. UTAJIRI.

Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU.

Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.

5,6,7.......


Pamoja na sifa nyingi zinazoonekana Kwa macho, msingi wa Tanzania uko katika Ulimwengu usioonekana, na ndiko nitakapojikita zaidi.

Taifa hili, kama Kuna Nchi ambayo Mungu anaangalia Kwa ukaribu duniani baada ya Israel ni Tanzania.

Baada ya Messiah kuja duniani katika mwili wa mwanadamu, Alianza kuhubiri INJILI katika Israel, na akateua mitume, wanafunzi kuhubiri INJILI duniani kote,

INJILI hiyo imehubiriwa katika mataifa mbalimbali Kwa njia ngumu sana, wengi wa wanafunzi wa Yesu na wapeleka INJILI waliuawa na kukataliwa, na Kwakuwa, INJILI wanayoihubiri asili yake ni mbinguni, Dunia haikuipokea Wala kuwapokea wahubiri INJILI Kwa kiasi kikubwa.


KIVIPI TANZANIA IMEIBEBA DUNIA?

Kuibeba Dunia ni kufanyika LANGO. VIASHIRIA vyote nilivyoyaja pale juu, ni matokeo ya nchi hii kuwa center ya Amani na mazuri yote ambayo hupita na kubariki Dunia nzima.

1. KANISA LA MWISHO LITAKUSANYWA KUTOKEA TANZANIA.

Hapa katika Nchi hii, lile Kanisa la kwanza lililotawanyika Kutoka Israeli kwenda mataifa mbalimbali kuhubiri INJILI, litajikusanyia tena Kutokea hapa kwenda kuhubiri INJILI ya ufalme Kwa mataifa yote.

Kama ni mtu wa Roho, tayari harakati hizo zimeanza kuonekana.


Nitaendelea.........
Watanzania kwa sababu hatutembea tumekuwa brain washed kwa kudhani sisi tuna amani kuliko wengine.
 
Salaam, Shalom.

Tanzania kuibeba Dunia, Hilo tu tayari ni HOJA fikirishi.

Kabla sijaenda ninakotaka kuelezea, ZIFUATAZO, ni sifa za Nchi hii ambazo, huwezi kuzipata Mahali pengine popote duniani katika macho ya kibinadamu katika Ulimwengu wa mwili.

1. AMANI.

Pamoja na Nchi hii kuwa na makabila mengi kuliko Nchi nyingine yoyote duniani, Bado watu wa Nchi hii wameendelea kuishi kwa Amani.

2. UPENDO.

Pamoja na tofauti za kiimani ,kitamaduni, nk nk,Bado Nchi hii unaweza kwenda popote na kupokelewa na yeyote popote na kukarimiwa.

3. UTAJIRI.

Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU.

Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.

5,6,7.......


Pamoja na sifa nyingi zinazoonekana Kwa macho, msingi wa Tanzania uko katika Ulimwengu usioonekana, na ndiko nitakapojikita zaidi.

Taifa hili, kama Kuna Nchi ambayo Mungu anaangalia Kwa ukaribu duniani baada ya Israel ni Tanzania.

Baada ya Messiah kuja duniani katika mwili wa mwanadamu, Alianza kuhubiri INJILI katika Israel, na akateua mitume, wanafunzi kuhubiri INJILI duniani kote,

INJILI hiyo imehubiriwa katika mataifa mbalimbali Kwa njia ngumu sana, wengi wa wanafunzi wa Yesu na wapeleka INJILI waliuawa na kukataliwa, na Kwakuwa, INJILI wanayoihubiri asili yake ni mbinguni, Dunia haikuipokea Wala kuwapokea wahubiri INJILI Kwa kiasi kikubwa.


KIVIPI TANZANIA IMEIBEBA DUNIA?

Kuibeba Dunia ni kufanyika LANGO. VIASHIRIA vyote nilivyoyaja pale juu, ni matokeo ya nchi hii kuwa center ya Amani na mazuri yote ambayo hupita na kubariki Dunia nzima.

1. KANISA LA MWISHO LITAKUSANYWA KUTOKEA TANZANIA.

Hapa katika Nchi hii, lile Kanisa la kwanza lililotawanyika Kutoka Israeli kwenda mataifa mbalimbali kuhubiri INJILI, litajikusanyia tena Kutokea hapa kwenda kuhubiri INJILI ya ufalme Kwa mataifa yote.

Kama ni mtu wa Roho, tayari harakati hizo zimeanza kuonekana.


Nitaendelea.........
Bange ya Arusha
 
3. UTAJIRI.

Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU.

Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.
Tumeibeba dunia kwa kuibiwa resources huku tukicheka
 
Salaam, Shalom.

Tanzania kuibeba Dunia, Hilo tu tayari ni HOJA fikirishi.

Kabla sijaenda ninakotaka kuelezea, ZIFUATAZO, ni sifa za Nchi hii ambazo, huwezi kuzipata Mahali pengine popote duniani katika macho ya kibinadamu katika Ulimwengu wa mwili.

1. AMANI.

Pamoja na Nchi hii kuwa na makabila mengi kuliko Nchi nyingine yoyote duniani, Bado watu wa Nchi hii wameendelea kuishi kwa Amani.

2. UPENDO.

Pamoja na tofauti za kiimani ,kitamaduni, nk nk,Bado Nchi hii unaweza kwenda popote na kupokelewa na yeyote popote na kukarimiwa.

3. UTAJIRI.

Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU.

Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.

5,6,7.......


Pamoja na sifa nyingi zinazoonekana Kwa macho, msingi wa Tanzania uko katika Ulimwengu usioonekana, na ndiko nitakapojikita zaidi.

Taifa hili, kama Kuna Nchi ambayo Mungu anaangalia Kwa ukaribu duniani baada ya Israel ni Tanzania.

Baada ya Messiah kuja duniani katika mwili wa mwanadamu, Alianza kuhubiri INJILI katika Israel, na akateua mitume, wanafunzi kuhubiri INJILI duniani kote,

INJILI hiyo imehubiriwa katika mataifa mbalimbali Kwa njia ngumu sana, wengi wa wanafunzi wa Yesu na wapeleka INJILI waliuawa na kukataliwa, na Kwakuwa, INJILI wanayoihubiri asili yake ni mbinguni, Dunia haikuipokea Wala kuwapokea wahubiri INJILI Kwa kiasi kikubwa.


KIVIPI TANZANIA IMEIBEBA DUNIA?

Kuibeba Dunia ni kufanyika LANGO. VIASHIRIA vyote nilivyoyaja pale juu, ni matokeo ya nchi hii kuwa center ya Amani na mazuri yote ambayo hupita na kubariki Dunia nzima.

1. KANISA LA MWISHO LITAKUSANYWA KUTOKEA TANZANIA.

Hapa katika Nchi hii, lile Kanisa la kwanza lililotawanyika Kutoka Israeli kwenda mataifa mbalimbali kuhubiri INJILI, litajikusanyia tena Kutokea hapa kwenda kuhubiri INJILI ya ufalme Kwa mataifa yote.

Kama ni mtu wa Roho, tayari harakati hizo zimeanza kuonekana.


Nitaendelea.........
Je tuanze kumuomba MUNGU WA TANZANIA au tuendelee na MUNGU WA ISRAELI?
 
Nmefungua huu uzi kwa bashasha kumbe CHAWA aliyekosa pa kudandia kaandika upuuzi mtupu
 
Salaam, Shalom.

Tanzania kuibeba Dunia, Hilo tu tayari ni HOJA fikirishi.

Kabla sijaenda ninakotaka kuelezea, ZIFUATAZO, ni sifa za Nchi hii ambazo, huwezi kuzipata Mahali pengine popote duniani katika macho ya kibinadamu katika Ulimwengu wa mwili.

1. AMANI
Pamoja na Nchi hii kuwa na makabila mengi kuliko Nchi nyingine yoyote duniani, Bado watu wa Nchi hii wameendelea kuishi kwa Amani.

2. UPENDO
Pamoja na tofauti za kiimani ,kitamaduni, nk nk,Bado Nchi hii unaweza kwenda popote na kupokelewa na yeyote popote na kukarimiwa.

3. UTAJIRI
Amini usiamini, Kuna watu wanasema kuwa congo ndiyo inayoongiza Kwa utajiri chini ya ardhi, Si Kweli, vilivyomo chini ya ardhi ya nchi hii, ambavyo havijavumbuliwa Bado, hakuna kama Tanzania.

4. UTULIVU
Mtanzania unaweza kumfananisha na Kondoo, Kwa nje ni kama dharau, lakini Kwa ndani ni silaha kubwa sana ya kulifanya Taifa kuwa hapa lilipo. Hata anapofanyiwa ubaya, hutulia, hata ukimdhulumu atanyamaza, na hata akiamua kufuatilia katika vyombo vya HAKI, ni Rahisi kusamehe na kumwachia Mungu.

5,6,7.......

Pamoja na sifa nyingi zinazoonekana Kwa macho, msingi wa Tanzania uko katika Ulimwengu usioonekana, na ndiko nitakapojikita zaidi.

Taifa hili, kama Kuna Nchi ambayo Mungu anaangalia Kwa ukaribu duniani baada ya Israel ni Tanzania.

Baada ya Messiah kuja duniani katika mwili wa mwanadamu, Alianza kuhubiri INJILI katika Israel, na akateua mitume, wanafunzi kuhubiri INJILI duniani kote,

INJILI hiyo imehubiriwa katika mataifa mbalimbali Kwa njia ngumu sana, wengi wa wanafunzi wa Yesu na wapeleka INJILI waliuawa na kukataliwa, na Kwakuwa, INJILI wanayoihubiri asili yake ni mbinguni, Dunia haikuipokea Wala kuwapokea wahubiri INJILI Kwa kiasi kikubwa.


KIVIPI TANZANIA IMEIBEBA DUNIA?
Kuibeba Dunia ni kufanyika LANGO. VIASHIRIA vyote nilivyoyaja pale juu, ni matokeo ya nchi hii kuwa center ya Amani na mazuri yote ambayo hupita na kubariki Dunia nzima.

1. KANISA LA MWISHO LITAKUSANYWA KUTOKEA TANZANIA.
Hapa katika Nchi hii, lile Kanisa la kwanza lililotawanyika Kutoka Israeli kwenda mataifa mbalimbali kuhubiri INJILI, litajikusanyia tena Kutokea hapa kwenda kuhubiri INJILI ya ufalme Kwa mataifa yote.

Kama ni mtu wa Roho, tayari harakati hizo zimeanza kuonekana.

Nitaendelea.........
Waelezee.
 
Back
Top Bottom