Je, wajua kuwa wanawake wengi wana nguvu fulani kwenye maziwa yao?

Je, wajua kuwa wanawake wengi wana nguvu fulani kwenye maziwa yao?

TRIPLE H

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
651
Reaction score
349
Wadau,
Kuna nguvu fulani katika mwili wa binadamu zenye kumvuta mtu kwa namna ambayo mtu huyo anayevutwa lazima avutike atake asitake. Ni mithili ya zile alizo nazo chatu kwa mbwa. Wengi hufikiri ni harufu fulani, lkn kimsingi si harufu kama harufu ni certain powers within chatu zinazomtoka na kumu-attack mbwa kwa jinsi ya harufu!
Hata kwa mwanamke kuna certain powers zinakaa kwenye maziwa yake na zinaweza kumu-attack mwanaume yeyote hata kama ni mtawa. Ndio maana kwa asili yake, maziwa (au matiti) hufichwa/huhifadhiwa yasiwe public kwa kila mtu. Sasa kwa kuwa wanawake wengi hawajui nguvu hizi, siku hizi wanajiachia na hivyo kuwa-attack wanaume. Zile nguvu zikikuingia wewe mwanaume lazima uvutike 'kwenda machinjioni' wewe mwenyewe tena bila shuruti, kama mbwa ajipelekavyo kwa chatu yeye mwenyewe, bila shuruti, ili amezwe mzima mzima!
 
Wadau,
Kuna nguvu fulani katika mwili wa binadamu zenye kumvuta mtu kwa namna ambayo mtu huyo anayevutwa lazima avutike atake asitake. Ni mithili ya zile alizo nazo chatu kwa mbwa. Wengi hufikiri ni harufu fulani, lkn kimsingi si harufu kama harufu ni certain powers within chatu zinazomtoka na kumu-attack mbwa kwa jinsi ya harufu!
Hata kwa mwanamke kuna certain powers zinakaa kwenye maziwa yake na zinaweza kumu-attack mwanaume yeyote hata kama ni mtawa. Ndio maana kwa asili yake, maziwa (au matiti) hufichwa/huhifadhiwa yasiwe public kwa kila mtu. Sasa kwa kuwa wanawake wengi hawajui nguvu hizi, siku hizi wanajiachia na hivyo kuwa-attack wanaume. Zile nguvu zikikuingia wewe mwanaume lazima uvutike 'kwenda machinjioni' wewe mwenyewe tena bila shuruti, kama mbwa ajipelekavyo kwa chatu yeye mwenyewe, bila shuruti, ili amezwe mzima mzima!

Hahaaaaa!!

Nyie, hizo ni hanjam (homones, testestarone) za kibongo tu. Ukienda Afrika ya kusini kwenye kabila la waZulu au Namibia kwenye kabila la waHimba (na makabila mengi tu Afrika, Amerika kusini, Pacific Islands), mabinti hutembea matiti njenje na mablaza wanazalau tu. Matiti ni sex symbol kwa jamii kadhaa tu. Hata Tanzania kuna makabila wanawake wao hawavai sidiria wala tops. Uroda eeh?

Ukienda Uarabuni na kama mwanamke akiachia nywele zake wazi basi vijana watafadhaika sana. Hilo ni kosa kubwa sana Saudi Arabia sawa na kutembea uchi.

Nchi nyingi zinazofuata mila za wazungu utakuta wanawake wamevaa vibandiko vinavyoficha chuchu tu kama sidiria na vipapi vyembamba tu kama kwego (ch.upi) na watu wanaona kawaida tu ambapo wangeingia mitaani Bongo wangeipatapata.

Waacheni dada zetu wanaotaka kupunga hewa bila sidiria wawe huru. Lakini msiwabake. :lol:
 
Mi nakataa kabisaaa,hivi unazungimzia matiti gani kwanza???

Maana kuna mengine ukiyaona unageuza njia.

Nadhani ungekuwa specific kwamba ni kuanzia umri flani amazing 10-18.hapo utaeleweka.
 
Sema iyo nguvu inapotea akinyonyesha ha ha ha maana binyi hata upende vip titi zake siku ananyonyesha hata aache hadharani hazivutii
 
Mi nakataa kabisaaa,hivi unazungimzia matiti gani kwanza???

Maana kuna mengine ukiyaona unageuza njia.

Nadhani ungekuwa specific kwamba ni kuanzia umri flani amazing 10-18.hapo utaeleweka.


Hahahaaaa. Umenifurahisha sana mkuu. Ya kuwa matiti (au malapa - kandambili) mengine ukiyaona unageuza njia.

Nafikiri alichokuwa anamaanisha hapa ni yale yaliyosimama. In this case sidiria ni muhimu kwa wakina mama. Sidiria zinawa-empower wanawake. Kwa sababu wanaume wanavutiwa na matiti yaliyosimama, basi sidiria inawapa wakina mama umbile hilo. Hata kama wameolewa lakini wakina mama wanapata faraja kuona kuwa wababa (na wakaka) bado wanawakodolea macho, ingawaje hawana chance.

Tusiwaseme sana wanawake. Fikiria hivi, kama sisi wanaume tungekuwa tunatembea uchi, nani kati yetu mwenye kibamia asingetaka kuficha umasikini wake? Waacheni wakina mama wafiche talanta zao.
 
Mi nakataa kabisaaa,hivi unazungimzia matiti gani kwanza???

Maana kuna mengine ukiyaona unageuza njia.

Nadhani ungekuwa specific kwamba ni kuanzia umri flani amazing 10-18.hapo utaeleweka.

Miaka 10?????Acha u-PEVERT!!!!
 
Hii hoja yako ilipaswa iwe kwenye mapenzi mahusiano na ndoa, unaonaje??
 
Back
Top Bottom