Nadhani binti akichukua mwili sura ya mama ,kuna umri akifika anakua kama mama yake alipokua na uzuri ule ambao mzee alimkuta nao mama ambaye kazeeka sasa(ila wanawake wanazeeka haraka,30 tu haeleweki) .
Ndio maana madingi akikaona kakijana kanakuja kuja home, katajuta.