Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Osama Aliiwawa May 2011, Simba Ligi ilianza Sep 2011! Si ndio? Sasa nani kati yetu kadanganya?Hapo kwenye no 10 umedanganya. Osama aliuawa 2/5/2011 na Simba alichukua ubingwa kwa ligi msimu wa 2011/2012 yaani ligi ilianza Septemba na kuisha Mei 2012
Osama Aliiwawa May 2011, Simba Ligi ilianza Sep 2011! Si ndio? Sasa nani kati yetu kadanganya?
Baas mkuuHili nalo unataka ligi? Umeelewa kilichoandikwa?
Mkaa bure si sawa na mtembea bure[emoji23] [emoji23] [emoji23]kila la kheri kwenye kimataifa huko maana mmekuwa watalii tu