S Strong ladg Senior Member Joined Jul 15, 2021 Posts 170 Reaction score 445 Dec 20, 2024 #1 Kama ulikuwa hujui, Serikali ya Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi kuanzia mwaka 1988 wakati hadi mwaka 2008. Vilevile chama cha ANC, kiliwekwa kwenye orodha ya makundi hatari zaidi ya ugaidi duniani. Sasa jiulize je "gaidi ni nani"? Source: "Why Nelson Mandela Was on Terror Watch Lists Until 2008 | TIME" The U.S. Government Had Nelson Mandela on Terrorist Watch Lists Until 2008. Here’s Why
Kama ulikuwa hujui, Serikali ya Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi kuanzia mwaka 1988 wakati hadi mwaka 2008. Vilevile chama cha ANC, kiliwekwa kwenye orodha ya makundi hatari zaidi ya ugaidi duniani. Sasa jiulize je "gaidi ni nani"? Source: "Why Nelson Mandela Was on Terror Watch Lists Until 2008 | TIME" The U.S. Government Had Nelson Mandela on Terrorist Watch Lists Until 2008. Here’s Why
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 9,758 Reaction score 18,431 Dec 21, 2024 #2 Kwa USA gaidi ni mpinga maslahi ya mmarekani
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Dec 21, 2024 #3 Ole wako uende kinyume na US, utaitwa Kila jina chafu,Kisha ufungwe na uuawe.
Lycaon pictus JF-Expert Member Joined Jan 31, 2021 Posts 9,189 Reaction score 16,128 Dec 21, 2024 #4 Ngoja tuone yule wa Syria atakaa hadi lini?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 22, 2024 #5 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
S Strong ladg Senior Member Joined Jul 15, 2021 Posts 170 Reaction score 445 Dec 22, 2024 Thread starter #6 Lycaon pictus said: Ngoja tuone yule wa Syria atakaa hadi lini? Click to expand... Kwani hawajamtoa hadi leo?
Lycaon pictus said: Ngoja tuone yule wa Syria atakaa hadi lini? Click to expand... Kwani hawajamtoa hadi leo?
Wazolee JF-Expert Member Joined Sep 1, 2018 Posts 3,183 Reaction score 3,660 Dec 22, 2024 #7 Kama angekuwa Muislam Hadi Leo hii angekuwa anaitwa gaidi kama vile kanali Gadafi huku mambumbu wakishangilia
Kama angekuwa Muislam Hadi Leo hii angekuwa anaitwa gaidi kama vile kanali Gadafi huku mambumbu wakishangilia
Davidson david JF-Expert Member Joined Jul 26, 2023 Posts 1,029 Reaction score 1,051 Dec 22, 2024 #8 Acha kuposha umma
S Strong ladg Senior Member Joined Jul 15, 2021 Posts 170 Reaction score 445 Dec 22, 2024 Thread starter #9 Nani anapotosha umma wakati ni ukweli? Nenda Google basi utafute kama unaona ni uongo
MKAKA HALISI JF-Expert Member Joined Dec 5, 2018 Posts 631 Reaction score 1,263 Dec 22, 2024 #10 Afu inatokea ng'ombe moja inakuambia sijui Marekan kimepanda kimeshuka