JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Habari wanaJF,
Wakati tukielekea tarehe 28 Oktoba 2020 ambayo itakuwa siku ya kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani.
Ni vyema ukafahamu yafuatayo:
Ibara ya 41(7) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaondoa mamlaka ya Mahakama yoyote kuchunguza juu ya kuchaguliwa kwa Mgombea.
Kutokana na ibara hii, iwapo mgombea wa kiti cha Urais atatangazwa na Tume kuwa amechaguliwa kuwa Rais basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Wakati tukielekea tarehe 28 Oktoba 2020 ambayo itakuwa siku ya kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani.
Ni vyema ukafahamu yafuatayo:
Ibara ya 41(7) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaondoa mamlaka ya Mahakama yoyote kuchunguza juu ya kuchaguliwa kwa Mgombea.
Kutokana na ibara hii, iwapo mgombea wa kiti cha Urais atatangazwa na Tume kuwa amechaguliwa kuwa Rais basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Upvote
1