Tarimofundiumeme
Member
- Jun 25, 2022
- 28
- 27
-Kipengele Cha Umeme katika Nyumba ni moja ya kitu muhimu sana,na inashauriwa kutumia wataalamu wa fani husika kwakua umeme ni hatari pia.
◾️Kwa Nyumba Ambazo sio za Ghorofa, Inashauriwa Kabla hujaanza Kupiga Plasta Jengo lako, Fundi atahusika Kutindua,kujenga box za switch&sockets,round box za wall lamp ,kuweka bomba, za njia zote kama data,camera nk kulingana na mahitaji ya mteja husika.
◾️Kwa ujenzi wa Ghorofa mara nyingi huanzia kwenye slab..kabla ya zege kumwagwa.
Kumbuka kuna stage Kuu tatu hadi kukamilika kwa mfumo wa umeme..,na stage hizo huenda sambamba na ujenzi unavyoendelea.
hapo tumegusia stage ya kwanza.
Karibu tukupendezeshee nyumba yako Kwa kukuandalia mifumo ya umeme kuanzia
STAGE 1 _ Kutindua & plan & design
STAGE 2_ Kuvuta waya (wiring)
STAGE 3 Kufunga vifaa ( finishing.
Baada ya kufanya wiring kwenye jengo Lako Tunakujazia fomu na kuandaa mchoro kisha kuwakilisha tanesco kwa mfumo mpya wa mtandaoni (Nikonnekt) ndani ya siku tatu unapata umeme bila kwenda ofisi ya tanesco.
kwakua tuna Leseni na tupo kwenye mfumo wa Nikonnekt Tanesco.sisi tupo kwa ajili yako mteja wetu.
call/WhatsApp 0734840433
Tupo Dar es Salaam.
◾️Kwa Nyumba Ambazo sio za Ghorofa, Inashauriwa Kabla hujaanza Kupiga Plasta Jengo lako, Fundi atahusika Kutindua,kujenga box za switch&sockets,round box za wall lamp ,kuweka bomba, za njia zote kama data,camera nk kulingana na mahitaji ya mteja husika.
◾️Kwa ujenzi wa Ghorofa mara nyingi huanzia kwenye slab..kabla ya zege kumwagwa.
Kumbuka kuna stage Kuu tatu hadi kukamilika kwa mfumo wa umeme..,na stage hizo huenda sambamba na ujenzi unavyoendelea.
hapo tumegusia stage ya kwanza.
Karibu tukupendezeshee nyumba yako Kwa kukuandalia mifumo ya umeme kuanzia
STAGE 1 _ Kutindua & plan & design
STAGE 2_ Kuvuta waya (wiring)
STAGE 3 Kufunga vifaa ( finishing.
Baada ya kufanya wiring kwenye jengo Lako Tunakujazia fomu na kuandaa mchoro kisha kuwakilisha tanesco kwa mfumo mpya wa mtandaoni (Nikonnekt) ndani ya siku tatu unapata umeme bila kwenda ofisi ya tanesco.
kwakua tuna Leseni na tupo kwenye mfumo wa Nikonnekt Tanesco.sisi tupo kwa ajili yako mteja wetu.
call/WhatsApp 0734840433
Tupo Dar es Salaam.