#COVID19 Je, wajua namna Sabuni inavyofanya kazi katika kuukinga mwili dhidi ya maambukizi ya #COVID19

#COVID19 Je, wajua namna Sabuni inavyofanya kazi katika kuukinga mwili dhidi ya maambukizi ya #COVID19

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20200508_201432_0000.png


Sabuni hufanya kazi kwa kuharibu Molekyuli za kirusi cha Corona hasa Molekyuli za mafuta zinazounda ngao ya nje inayozunguka kirusi

Ngao ya nje ya kirusi ina mafuta ambayo hukisaidia kirusi kiweze kuishi kwenye mazingira kwa muda na kiweze kunata kwenye nyuso za vitu

Unapoosha na mikono kwa maji pekee kirusi kitaendelea kunata bila kutoka kwa sababu ngao inafanya kirusi kuwa kama tone la mafuta

Molekyuli za sabuni zinapofika kwenye kirusi huivunja ngao ya nje ambayo imeundwa na mafuta na kirusi hubomoka na kutokuwa na uwezo wa kuishi tena

Pia ni muhimu kufahamu kwamba unaponawa kwa sabuni na maji tiririka kwa muda wa sekunde 20 na kuendelea unatoa nafasi Molekyuli za sabuni kufanya kazi ya kuondoa virusi na chembechembe za uchafu kutoka kwenye sehemu zote za
mikono

#JFCovid19_Updates #Corona #CoronaVirus
 
View attachment 1444170

Sabuni hufanya kazi kwa kuharibu Molekyuli za kirusi cha Corona hasa Molekyuli za mafuta zinazounda ngao ya nje inayozunguka kirusi

Ngao ya nje ya kirusi ina mafuta ambayo hukisaidia kirusi kiweze kuishi kwenye mazingira kwa muda na kiweze kunata kwenye nyuso za vitu

Unapoosha na mikono kwa maji pekee kirusi kitaendelea kunata bila kutoka kwa sababu ngao inafanya kirusi kuwa kama tone la mafuta

Molekyuli za sabuni zinapofika kwenye kirusi huivunja ngao ya nje ambayo imeundwa na mafuta na kirusi hubomoka na kutokuwa na uwezo wa kuishi tena

Pia ni muhimu kufahamu kwamba unaponawa kwa sabuni na maji tiririka kwa muda wa sekunde 20 na kuendelea unatoa nafasi Molekyuli za sabuni kufanya kazi ya kuondoa virusi na chembechembe za uchafu kutoka kwenye sehemu zote za
mikono

#JFCovid19_Updates #Corona #CoronaVirus
Kirusi ni non-living

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1444170

Sabuni hufanya kazi kwa kuharibu Molekyuli za kirusi cha Corona hasa Molekyuli za mafuta zinazounda ngao ya nje inayozunguka kirusi

Ngao ya nje ya kirusi ina mafuta ambayo hukisaidia kirusi kiweze kuishi kwenye mazingira kwa muda na kiweze kunata kwenye nyuso za vitu

Unapoosha na mikono kwa maji pekee kirusi kitaendelea kunata bila kutoka kwa sababu ngao inafanya kirusi kuwa kama tone la mafuta

Molekyuli za sabuni zinapofika kwenye kirusi huivunja ngao ya nje ambayo imeundwa na mafuta na kirusi hubomoka na kutokuwa na uwezo wa kuishi tena

Pia ni muhimu kufahamu kwamba unaponawa kwa sabuni na maji tiririka kwa muda wa sekunde 20 na kuendelea unatoa nafasi Molekyuli za sabuni kufanya kazi ya kuondoa virusi na chembechembe za uchafu kutoka kwenye sehemu zote za
mikono

#JFCovid19_Updates #Corona #CoronaVirus
Dawa ishapatikana
IMG-20200508-WA0104.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tungekuwa tunakunywa sabuni ili virus waliokuwa engested tayari wafe
 
Kirusi cha Corona kimetengenezwa kwa vitu vitatu Ribonucleic acid (RNA), protein na mafuta (lipid bilayer).. Sabuni ina Kemikali inayoitwa Amphiphile (a
Amphiphiro kama alivyosema Gwajima) ambayo huharibu chembechembe ndogondogo sana za mafuta "nanoparticle" za Sars-CoV-2 Virusi na kumfanya ashindwe kuingia kwenye seli na kuleta uharibifu...
 
Mzee baba huwa anakosea tu matamshi ila yupo sahihi. Inaitwa amphiphile na sio amfifiro
Kwenye sabuni za bongo hakuna amfifiro inayochanganywa.. nimeongea na jamaa anafanya kazi hizo za kuchanganya formula lakini anakwambia bongo hakuna..
Nimeingia google basi kutafuta labda sabuni za mbele zenyewe zina amfifiro lakini nako hakuna ingredient ya amfifiro inayoongezwa.

Ni kweli hio amfifiro ipo lakino haitumiki kwemye sabuni za bongo wala za mbele..
 
Kwenye sabuni za bongo hakuna amfifiro inayochanganywa.. nimeongea na jamaa anafanya kazi hizo za kuchanganya formula lakini anakwambia bongo hakuna..
Nimeingia google basi kutafuta labda sabuni za mbele zenyewe zina amfifiro lakini nako hakuna ingredient ya amfifiro inayoongezwa.

Ni kweli hio amfifiro ipo lakino haitumiki kwemye sabuni za bongo wala za mbele..
Kuna mahali nimesoma wanasema hiyo amphiphile sio kwamba kuna hiyo substance inawekwa moja kwa moja bali kuna chemical substance nyingi zenye amphiphilic character. Mfano kuna moja inaitwa sodium stearate inatumika kwenye sabuni. Hebu muulize huyo ndugu mtengeneza sabuni kama huwa anatumia sodium stearate,akisema anatumia basi ujue hiyo ndio amfifiro yenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom