Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Saaaaam Wana Jf
Natumaini ya kuwa tupo salama na tunaendelea kusherekea ushindi tulioupata kwa Dodoma jiji ingawa goli moja la chama tulilipata baada ya kupiga mpira upiokufa (penalt)[emoji23][emoji23]
Nani anajali ....kikubwa point tatu
Lakini je wajua. ...tangu ligue ya NBC premier 2021/2022 ianze ndugu zetu. Makolo hawajatoa mchezaji wala kocha Bora wa mwezi kwenye tuzo za. TFF
Zaidi ya zile tuzo za madirisha ya Emirates .....Sasa sijui Hawa ndugu zetu Wana mpango wa kuanza kuuza ndege. ..(.jokes )
Je! tatizo ni nini ...haya ni baadhi ya majibu
1. Simba Wana kocha bora anaehusudu pira la tiktaka ambalo hapa bongo halijafika. (Kumbuka alikuwa msaidizi wa zidane )
2. Kutokana na pira la tiktaka ...anakwamishwa na wachezaji wazee..inakadiriwa umri wao. Kina onyango miaka 45
Boko .. 47.
By mchambuzi......
Taja sababu zingine
Natumaini ya kuwa tupo salama na tunaendelea kusherekea ushindi tulioupata kwa Dodoma jiji ingawa goli moja la chama tulilipata baada ya kupiga mpira upiokufa (penalt)[emoji23][emoji23]
Nani anajali ....kikubwa point tatu
Lakini je wajua. ...tangu ligue ya NBC premier 2021/2022 ianze ndugu zetu. Makolo hawajatoa mchezaji wala kocha Bora wa mwezi kwenye tuzo za. TFF
Zaidi ya zile tuzo za madirisha ya Emirates .....Sasa sijui Hawa ndugu zetu Wana mpango wa kuanza kuuza ndege. ..(.jokes )
Je! tatizo ni nini ...haya ni baadhi ya majibu
1. Simba Wana kocha bora anaehusudu pira la tiktaka ambalo hapa bongo halijafika. (Kumbuka alikuwa msaidizi wa zidane )
2. Kutokana na pira la tiktaka ...anakwamishwa na wachezaji wazee..inakadiriwa umri wao. Kina onyango miaka 45
Boko .. 47.
By mchambuzi......
Taja sababu zingine