Je, wajua Tanzania kuna baadhi ya mikoa hutakiwi kuwa mpole ili ufanikiwe kimaisha?

Je, wajua Tanzania kuna baadhi ya mikoa hutakiwi kuwa mpole ili ufanikiwe kimaisha?

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Je, wajua hapa Tanzania kuna baadhi ya mikoa ukiwa mstaarabu sana kutoboa kwako itakuwa ngumu sana au mwenendo mzima katika harakati zako za maisha katika utafutaji itakuwia ngumu sana. Bila kuwa mbabe na kuwa kauli za hovyo sehemu hizo utakimbia mwenyewe.

Mfano Geita maeneo yote yaliyozungukwa na migodi, Mpanda, Katavi, Kanda ya Ziwa. Maeneo yote yaliyozungukwa na visiwa pamoja na sehemu yoyote ile iliyojaa wanachama wa CCM.
 
Wewe mwanasaccos shida yako ilikuwa ni kutaja ccm tuu huna jingine.
 
Back
Top Bottom