#COVID19 Je, wajua tofauti ya 'Epidemic', 'Pandemic', 'Endemic' na 'Outbreak'?

#COVID19 Je, wajua tofauti ya 'Epidemic', 'Pandemic', 'Endemic' na 'Outbreak'?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
photo_2020-05-02_13-32-39.jpg

Tukianza na EPIDEMIC hii ni hali ya ugonjwa ambao huathiri idadi kubwa ya watu ndani ya jamii flani, nchi au eneo. Mfano: Kipindupindu, Chikungunya na Ebola

PANDEMIC ni pale ugonjwa unapotoka kwenye hali ya Epidemic na kuenea kwenye Mataifa mengi au mabara mengi. Mfano: #COVID19

ENDEMIC ni pale ugonjwa huwatokea watu wa jamii flani ndani ya nchi au eneo flani kwa kipindi kirefu. Watu huanza kuishi na huo ugonjwa katika jamii. Mfano: Malaria

OUTBREAK huu ni ugonjwa wa mlipuko ambao huwakumba watu wengi zaidi katika eneo fulani bila ya kutarajia. Kama hatua za kudhibiti hazitachukuliwa mapema basi ugonjwa upelekea 'Epidemic'. Mfano: Ebola
 
Upvote 5
Hii ngoma twaweza twende kwenye ENDEMIC sasa, bado sioni mwanga
 
Kwa definition hii wacha Tanzania wengi tunasifika kwa uzushi roho mbaya uongo na unafiki ni epidemic kwetu
 
Wale wanaotumia simu na laptop za wazazi wao kukoment ujinga baada ya shule kufungwa kuwa makini na hii mada kwani inaweza kuwa swali katika NECTA 2020 na kuendelea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom