bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Kweli mambo yanaenda kasi sana wanabodi.
Sijui Manyangema hapo kale ya 2000s walikuwa wanakwama wapi, kwani nimekuja kugundua walikuwa hawatongozi kabisa, wao ndio walikuwa wanapigwa mistari sana na manzi wa enzi hizo.
Hawa Wanawake wanaotongozaa sijui wameishia wapi, yaan tokea nitongozwe primary school sijawahi tongozwa tena, ona sasa madhara yake nazeeka na utamu wangu. Wafwatao ni list ya wanaume waliotongozwa:-
1. Daz baba katika ngoma Naitaji wife. Daz anachekesha alitongozwa kwa barua jibu lake akasema Moyo wangu chukua.
2. Prof jay Huyu jamaa sijui ilikuwa ni fantasy au kweli, kuhusu yeye kupendwa na kutongozwa kibabe na Viki katika ngoma la Zari la mentali. Mwimbaji kiitikio Juma nature nae alitongozwa.
3. Juma Nature kwenye Inaniuma sana huyu alitongozwa na mwanafunzi wa chuo cha habari tena alifwatwa usiku, Juma alikuwa anajikanyaga wakati anapigwa mistari na Tina hadi kusingizia Dingi yake hataki atoke nnje usiku. Inahuzunisha sana
4. Mchizi Mox kwenye ngoma ya mikasi. Yaani Mox na sauti yakee ya mikwaruzo bado alikula mistari kutoka kwa Bahati.
5. Mwana FA huyu bitoz wa zamani yeye kwenye ngoma ya Unanitega analalamika kwanini manzi hamtongozi. Inashangaza sana! hawa mabrother walikuwa wanazingua sana sijui walikuwa wanataka kutufundisha nini.
6. Noorah jamaa kazinguaa sana kwenye ngomaa ya Ukurassa wa pili. Yaan jamaa literali analamika kutongozwa humo ndani anaringaaa vibayaa saana, mademu wengi sana kawapiga cha mbavu ..pumbavu sana huyu nyangema.
Wanabodii wapoo wengii sanaa waliokuwa wanatongozwa nikiwaandika wotee hapa hapatatosha hapa. Ndo maana Lady Jadee aliwachana wanaume kama mabinti. Nawaangaliagaa tuu hawaa mabraza
Sijui Manyangema hapo kale ya 2000s walikuwa wanakwama wapi, kwani nimekuja kugundua walikuwa hawatongozi kabisa, wao ndio walikuwa wanapigwa mistari sana na manzi wa enzi hizo.
Hawa Wanawake wanaotongozaa sijui wameishia wapi, yaan tokea nitongozwe primary school sijawahi tongozwa tena, ona sasa madhara yake nazeeka na utamu wangu. Wafwatao ni list ya wanaume waliotongozwa:-
1. Daz baba katika ngoma Naitaji wife. Daz anachekesha alitongozwa kwa barua jibu lake akasema Moyo wangu chukua.
2. Prof jay Huyu jamaa sijui ilikuwa ni fantasy au kweli, kuhusu yeye kupendwa na kutongozwa kibabe na Viki katika ngoma la Zari la mentali. Mwimbaji kiitikio Juma nature nae alitongozwa.
3. Juma Nature kwenye Inaniuma sana huyu alitongozwa na mwanafunzi wa chuo cha habari tena alifwatwa usiku, Juma alikuwa anajikanyaga wakati anapigwa mistari na Tina hadi kusingizia Dingi yake hataki atoke nnje usiku. Inahuzunisha sana
4. Mchizi Mox kwenye ngoma ya mikasi. Yaani Mox na sauti yakee ya mikwaruzo bado alikula mistari kutoka kwa Bahati.
5. Mwana FA huyu bitoz wa zamani yeye kwenye ngoma ya Unanitega analalamika kwanini manzi hamtongozi. Inashangaza sana! hawa mabrother walikuwa wanazingua sana sijui walikuwa wanataka kutufundisha nini.
6. Noorah jamaa kazinguaa sana kwenye ngomaa ya Ukurassa wa pili. Yaan jamaa literali analamika kutongozwa humo ndani anaringaaa vibayaa saana, mademu wengi sana kawapiga cha mbavu ..pumbavu sana huyu nyangema.
Wanabodii wapoo wengii sanaa waliokuwa wanatongozwa nikiwaandika wotee hapa hapatatosha hapa. Ndo maana Lady Jadee aliwachana wanaume kama mabinti. Nawaangaliagaa tuu hawaa mabraza