Yudah
Member
- Jun 7, 2019
- 25
- 21
Pichani
[emoji652][emoji652][emoji652]
Hii ilikuwa ni ibada iliyoitwa QHAPAC BUCHA au CAOACOCHA .ibada hii ilikuwa maalumu ikifanywa na watu jamii ya INCA karne ya 15 huko COLOMBIA ,walikuwa wakiwatoa sadaka watoto wao kwa miungu yao waliyokuwa wakiiamini. Zaidi ya watoto 140 walikuwa wakitolewa sadaka kila mwaka katika ibada hizo.
#NOW_YOU_KNOW
ahsanteni
[emoji652][emoji652][emoji652]
Hii ilikuwa ni ibada iliyoitwa QHAPAC BUCHA au CAOACOCHA .ibada hii ilikuwa maalumu ikifanywa na watu jamii ya INCA karne ya 15 huko COLOMBIA ,walikuwa wakiwatoa sadaka watoto wao kwa miungu yao waliyokuwa wakiiamini. Zaidi ya watoto 140 walikuwa wakitolewa sadaka kila mwaka katika ibada hizo.
#NOW_YOU_KNOW
ahsanteni