Je wajua?

Je wajua?

Chabo

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
1,093
Reaction score
1,154
Kumradhi wakubwa zangu!kama wajua naomba unifahamishe. mm niko mbioni kuoa,nataka kujua je ni mara ngapi iliyosahihi kufanya mapenz kwa wiki?(kwa ajili ya afya).
 
hujaoa,
unataka kujua ufanye marangapi,
yeye anataka marangapi,
utapenda maramoja kwa wiki mwenzio anataka kilasiku watakusaidia wenzio
cha muhimu ni kula vizuri halafu kitumie kwasababu ni chako na kipo
kikubwa angalia kazi zako
 
nyie mtakavyokubaliana haiko fixed mara kadhaa kwa wiki....
 
hujaoa,<br />
unataka kujua ufanye marangapi,<br />
yeye anataka marangapi,<br />
utapenda maramoja kwa wiki mwenzio anataka kilasiku watakusaidia wenzio<br />
cha muhimu ni kula vizuri halafu kitumie kwasababu ni chako na kipo<br />
kikubwa angalia kazi zako
<br />
<br />
hili jibu linatosha.ahsante veterani
 
nilijua ni kile kipindi cha RFA kumbe ni mambo ya mahabati basi haina shaka rejea jamaa hapo juu ndugu Elia kisha finito..
 
Kila siku baada ya kulala kidogo usiku ili digestion ifanye kazi...bafuni...sebuleni popote penye faraga hata ndani ya gari lenu tinted ndo hasa walio wengi hupenda...na siku moja moja mnahama nyumbani mnalala hoteli nzuri ili asifurahie akifanyiwa na wenzako wakimuiba..kubwa zaidi badilika mara nyingi kistyle ya tendo...mbuzi kagoma kwenda...gari mtaroni...chuma mboga...punda na mzigo...nyumambele na mbelenyuma...eeee unashangaa nini sasa kama hupendi wenzio watafanya...chatu kamkaba mbwa....randa mbao...msumeno wa chuma...isuzu mlimani...na fisi kateleza...kwa wale wa kamachumu na waziba usisahau kibwetere katerero
 
Kila siku baada ya kulala kidogo usiku ili digestion ifanye kazi...bafuni...sebuleni popote penye faraga hata ndani ya gari lenu tinted ndo hasa walio wengi hupenda...na siku moja moja mnahama nyumbani mnalala hoteli nzuri ili asifurahie akifanyiwa na wenzako wakimuiba..kubwa zaidi badilika mara nyingi kistyle ya tendo...mbuzi kagoma kwenda...gari mtaroni...chuma mboga...punda na mzigo...nyumambele na mbelenyuma...eeee unashangaa nini sasa kama hupendi wenzio watafanya...chatu kamkaba mbwa....randa mbao...msumeno wa chuma...isuzu mlimani...na fisi kateleza...kwa wale wa kamachumu na waziba usisahau kibwetere katerero

ungeziweka zote na picha kule jukwaa la wakubwa ungekuwa umefanya la maana sana
 
Ndugu jibu sahh utalipata kulinga na mahitaji ya mwenzio. hakuna ratiba ktk ndoa. mfano 1. unaweza kukuta mwezi huu mashamsham kishenzi mwezi unaofata mmekata apitait najua itafika wakati mtazoeana na utaondoa dhana na maswali ulo nayo sasa ktk swala zima la mapenzi. nakutakia maandalizi mema. karibu ktk ulimwengu we2
 
Ukiwa ndani ya Ndoa wengi wanaizoea hiyo shughuli, mpaka inakuwa siyo romantic ndo maana watu wengi wanalaumiana mara kila siku style hiyo hiyo, au mkeo utamsikia leo nimechoka, hiyo yote ni tokana na kukosa romantic ideas. Jaribu kuwa mbunifu. mimi hupenda sana ku suprise wa kwangu, na yeye hufanya hivyo hivyo. Kuna siku alinitumia sms saa kumi na moja imagine tumelala kitanda kimoja yeye akashtuka akatuma sms halafu akapiga simu ilipoita nikashtuka, nikakuta sms tamu ajabu. ilisema hivi mpenzi mme wangu niko tayari nakusubiri tule chakula asubuhi hii njoo haraka mvua imeshanyesha kisima kimejaa maji, Mkuu kitu kilisimama ghafla nilitupa shuka kule! game ilikuwa tamu ajabu.
Na mie nikapanga surprise yangu jioni moja natoka job nikamkuta bafuni anaoga nikaingia bafuni na bukta yangu nikamwambia nakuja kukusugua mgongo leo, nikachukua sponge nikaanza kumsugua taaaaraaaatiiibu mgongo, kiuno, mapaja hee!! naona pumzi zinabadilika kilichofuata hapo ni miguno tuuu tehe.
So mkuu mkianza kupangiana ratiba eti tufanye jmosi sijui jtatu mh naona mtachokana very soon, mimi sina formula tukiwa fresh hata kila siku kimoja, tukitingwa na majukumu sometimes hata wiki inakatika hatujala.
 
Kila siku baada ya kulala kidogo usiku ili digestion ifanye kazi...bafuni...sebuleni popote penye faraga hata ndani ya gari lenu tinted ndo hasa walio wengi hupenda...na siku moja moja mnahama nyumbani mnalala hoteli nzuri ili asifurahie akifanyiwa na wenzako wakimuiba..kubwa zaidi badilika mara nyingi kistyle ya tendo...mbuzi kagoma kwenda...gari mtaroni...chuma mboga...punda na mzigo...nyumambele na mbelenyuma...eeee unashangaa nini sasa kama hupendi wenzio watafanya...chatu kamkaba mbwa....randa mbao...msumeno wa chuma...isuzu mlimani...na fisi kateleza...kwa wale wa kamachumu na waziba usisahau kibwetere katerero
<br />
<br />

Aisee, waihyukayo! Egi epost yanshoesha!
 
Kila siku baada ya kulala kidogo usiku ili digestion ifanye kazi...bafuni...sebuleni popote penye faraga hata ndani ya gari lenu tinted ndo hasa walio wengi hupenda...na siku moja moja mnahama nyumbani mnalala hoteli nzuri ili asifurahie akifanyiwa na wenzako wakimuiba..kubwa zaidi badilika mara nyingi kistyle ya tendo...mbuzi kagoma kwenda...gari mtaroni...chuma mboga...punda na mzigo...nyumambele na mbelenyuma...eeee unashangaa nini sasa kama hupendi wenzio watafanya...chatu kamkaba mbwa....randa mbao...msumeno wa chuma...isuzu mlimani...na fisi kateleza...kwa wale wa kamachumu na waziba usisahau kibwetere katerero

Son of Africa! mwingi wa manjonjo! jina na mambo yako yanalinganaaaaa!! Majina mengine ndio kwanza leo nayasikia.
 
Son of Africa! mwingi wa manjonjo! jina na mambo yako yanalinganaaaaa!! Majina mengine ndio kwanza leo nayasikia.

nimemwambia atuwekee na picha jukwa lile...
na wewe umevutika na nini hapo?chatu kamkaba mbwa ??????/lol
 
Kila siku baada ya kulala kidogo usiku ili digestion ifanye kazi...bafuni...sebuleni popote penye faraga hata ndani ya gari lenu tinted ndo hasa walio wengi hupenda...na siku moja moja mnahama nyumbani mnalala hoteli nzuri ili asifurahie akifanyiwa na wenzako wakimuiba..kubwa zaidi badilika mara nyingi kistyle ya tendo...mbuzi kagoma kwenda...gari mtaroni...chuma mboga...punda na mzigo...nyumambele na mbelenyuma...eeee unashangaa nini sasa kama hupendi wenzio watafanya...chatu kamkaba mbwa....randa mbao...msumeno wa chuma...isuzu mlimani...na fisi kateleza...kwa wale wa kamachumu na waziba usisahau kibwetere katerero

Aisee nilikuwa sijacheka tangu aasubuhi leo. Umenichekesha sana!
 
Back
Top Bottom