Je wajua

Je wajua

mzee wa kismati

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
2,292
Reaction score
798
Ni chuo gani ambacho kinatoa kozi unique ambazo vyuo vingne visingethubutu kutoa Tanzania.? Kozi ambazo Africa mashariki n kati zinaptkn vyuo viwili two .... Kozi ambzo certificate zake hazipo wala hauwezi kusikia kitu kama diploma.. Kozi marketable kamwe hazichuji kozi sio kama magubegube rahisi kuzimudu kizembe koz interview watu wengi ni 50 kozi rahisi kujiajiri kozi kozi kwli si chuo kingine chenye jeuri hyo ni ARDHI UNIVERSITY PEKEE
 
Zingine mbwembwe tu.Nitajie vyuo vinavyofundisha kozi inayoitwa LOGISTICS AND TRANSPORT MANAGEMENT kwa afrika mashariki.
 
Zingine mbwembwe tu.Nitajie vyuo vinavyofundisha kozi inayoitwa LOGISTICS AND TRANSPORT MANAGEMENT kwa afrika mashariki.

vyuo kibao....na hio course sio marketable in tz.

samahani lakini
 
Ni chuo gani ambacho kinatoa kozi unique ambazo vyuo vingne visingethubutu kutoa Tanzania.? Kozi ambazo Africa mashariki n kati zinaptkn vyuo viwili two .... Kozi ambzo certificate zake hazipo wala hauwezi kusikia kitu kama diploma.. Kozi marketable kamwe hazichuji kozi sio kama magubegube rahisi kuzimudu kizembe koz interview watu wengi ni 50 kozi rahisi kujiajiri kozi kozi kwli si chuo kingine chenye jeuri hyo ni ARDHI UNIVERSITY PEKEE

"Quantity surveyor " wanapatikana only Ardhi university and university of Nairobi , Africa mashariki na kati....!starting salary 3m take home 2.4m noma sana
source :architect and quantity surveyor registration board (AQSB)
 
Zingine mbwembwe tu.Nitajie vyuo vinavyofundisha kozi inayoitwa LOGISTICS AND TRANSPORT MANAGEMENT kwa afrika mashariki.

kusoma tabu mzee ardhi na transport wapi na wapi mbwembwe zako kuchaguw kozi kisa mjomba kasoma zitakulaza njaa
 
"Quantity surveyor " wanapatikana only Ardhi university and university of Nairobi , Africa mashariki na kati....!starting salary 3m take home 2.4m noma sana
source :architect and quantity surveyor registration board (AQSB)

building economics ya ardhi pia ipo vizuri zaidi tena soko bado linadai huduma yao
 
building economics ya ardhi pia ipo vizuri zaidi tena soko bado linadai huduma yao[/QSURVEYOR.


Bsc. Bulding economics ni course na professional name la mtu anayesoma hio course ni QUANTITY SURVEYOR

hope umenipata mkuu.
 
Ni chuo gani ambacho kinatoa kozi unique ambazo vyuo vingne visingethubutu kutoa Tanzania.? Kozi ambazo Africa mashariki n kati zinaptkn vyuo viwili two .... Kozi ambzo certificate zake hazipo wala hauwezi kusikia kitu kama diploma.. Kozi marketable kamwe hazichuji kozi sio kama magubegube rahisi kuzimudu kizembe koz interview watu wengi ni 50 kozi rahisi kujiajiri kozi kozi kwli si chuo kingine chenye jeuri hyo ni ARDHI UNIVERSITY PEKEE

Shipping and Port Management, Chuo cha Bandari.
 
Ni chuo gani ambacho kinatoa kozi unique ambazo vyuo vingne visingethubutu kutoa Tanzania.? Kozi ambazo Africa mashariki n kati zinaptkn vyuo viwili two .... Kozi ambzo certificate zake hazipo wala hauwezi kusikia kitu kama diploma.. Kozi marketable kamwe hazichuji kozi sio kama magubegube rahisi kuzimudu kizembe koz interview watu wengi ni 50 kozi rahisi kujiajiri kozi kozi kwli si chuo kingine chenye jeuri hyo ni ARDHI UNIVERSITY PEKEE
sijaelewa chochote kwa haya maelezo yote,hebu zitaje hizo kozi na msingi wa hoja yako.
 
Back
Top Bottom