Zanzibar 2020 Je, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi watapitishwa na CCM Zanzibar pekee?

Zanzibar 2020 Je, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi watapitishwa na CCM Zanzibar pekee?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona zoezi la kupitisha majina ya wagombea ujumbe wa baraza la wawakilishi kule Zanzibar limesogezwa mbele kwa sababu ratiba za NEC na ZEC ni tofauti.

Swali: Je, hao wawakilishi watapitishwa na NEC ya Zanzibar pekee?

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom