johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeona zoezi la kupitisha majina ya wagombea ujumbe wa baraza la wawakilishi kule Zanzibar limesogezwa mbele kwa sababu ratiba za NEC na ZEC ni tofauti.
Swali: Je, hao wawakilishi watapitishwa na NEC ya Zanzibar pekee?
Maendeleo hayana vyama!
Swali: Je, hao wawakilishi watapitishwa na NEC ya Zanzibar pekee?
Maendeleo hayana vyama!