Je wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuongoza jeshi la police je kuna usawa?

Je wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuongoza jeshi la police je kuna usawa?

Martin Maqway

Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
19
Reaction score
2
Jeshi la polisi halitakiwi kuhusishwa na siasa,Tanzania tumeliunganisha jeshi la polisi kisiasa kwa namna moja au nyingine,Kisheria wakuu wa mikoa na wa wilaya wao c watendaji bali wao ni wanasiasa,ni vigumu mwanasiasa kuongoza jeshi ambalo jeshi hilo linalinda usalama wa raia wote haijalishi wa chama gan!.Nimezungumza haya kutokana na lawama wanazopewa jeshi letu la police,Katka mfumo 2lionao jeshi la police haliwezi kuwa kamata wahalifu wakuu wa chama ambach kipo madarakani kwa vile police order zake zko mikonon mwa wanasiasa ambao ndo watawala.Kwa namna hii napendekeza katka KATIBA MPYA jeshi la police liwe huru lijitegeme lenyewe ktka utendaji!
 
wewe unashangaa hilo la siasa kuingia mpaka jeshini? mbona shule zote za secondari enzi za chama chashika hatamu ilikuwa ni lazima mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda na jembe? bendi za muziki kama kamanyora badala ya kumiliki recording studio walijikuta wanamiliku mashamba kimara!

Nchi iliisha haribika tangia chama chashika hatamu enzi zake !!!!!!!!!!!!
 
Jeshi la polisi halitakiwi kuhusishwa na siasa,Tanzania tumeliunganisha jeshi la polisi kisiasa kwa namna moja au nyingine,Kisheria wakuu wa mikoa na wa wilaya wao c watendaji bali wao ni wanasiasa,ni vigumu mwanasiasa kuongoza jeshi ambalo jeshi hilo linalinda usalama wa raia wote haijalishi wa chama gan!.Nimezungumza haya kutokana na lawama wanazopewa jeshi letu la police,Katka mfumo 2lionao jeshi la police haliwezi kuwa kamata wahalifu wakuu wa chama ambach kipo madarakani kwa vile police order zake zko mikonon mwa wanasiasa ambao ndo watawala.Kwa namna hii napendekeza katka KATIBA MPYA jeshi la police liwe huru lijitegeme lenyewe ktka utendaji!
hiii nio laaana ya kuichukia israel na bado!
 
Back
Top Bottom