Je, wale wanaosafiri na vilabu vya Simba na Yanga kwenda nje, hula na kulala wapi?

Kuna jamaa kama watatu hivi, mmoja ana macho madogo ni mashabiki kindakindaki wa yanga. Kila game wapo. Nimekosa picha yao ningeweka hapa
Wakina Frank Yanga Wakali wa VIP B? Wale ni Madereva wa Mabasi ya Mikoani hasa Dar Kanda ya Ziwa,pia huwa wanaendeshaga Bus la Yanga la kubeba mashabiki. Wale ni Icon ya timu kwa hiyo huwa wanalipiwa na club.
 
Kula na kulala ni kujitegemea
 
 

Attachments

  • VID-20230906-WA0037.mp4
    4 MB
Hao wana magoli k/koo na ilala wengi wao
 
Wapo ofisini hapo..Kuna kakikundi kama ka watu wachache hivi huwa kila mechi ya Yanga wapo na Azam nao lazima wawaonyeshe..
 
Kama yule dogo wa yanga anayependa kurusha njiwa uwanjani
 
Ina maana hujawahi hata kusafiri
 
Nendeni tu mkakutane na Intarahamwe huko,, mtajua pa kutokea jeshi letu liko busy na kukusanya sare zao kwa raia,,
 
Na watu wa michongo yao ambayo sio lazima wawepo ofisini ili kazi ifanyike
 

Tafta pesa kla mtu ananjia yake yakutafta kipato
Kwa akili yako unazan kla mtu anafanya kaz kupata kipato wengne wanamali za urithi wwngne wamezaliwa nyumban pesa ipo ad wanakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…