Mimi naomba kuhoji kuhusu suala ya management ya UDOM kuwarudisha nyumbani wanafunzi wa kitivo cha mawasiliano na elimu angavu (Informatics & Virtual Education), kisa walikua wanadai pesa zao za mahitaji maalum ya kitivo (special faculty requirements).
Halafu kwenye vyombo vya habari wanasema wanafunzi wanagomea 'laptop' ili wanafunzi waonekane hawana logic, wakati hizo pesa zimeliwa na wao.
Wadau nisaidieni kama ni haki kwa mtanzania kufukuzwa chuo kwa kudai haki yake eti amehatarisha amani ya chuo, au kuna wengine ni watanzania zaidi kuliko wenzao?
Halafu kwenye vyombo vya habari wanasema wanafunzi wanagomea 'laptop' ili wanafunzi waonekane hawana logic, wakati hizo pesa zimeliwa na wao.
Wadau nisaidieni kama ni haki kwa mtanzania kufukuzwa chuo kwa kudai haki yake eti amehatarisha amani ya chuo, au kuna wengine ni watanzania zaidi kuliko wenzao?