Maswala mengine yanafikirisha kiasi cha kuona dalili za watu kutaka kuwa wachawi....Wametengeneza movies ambayo inahusu mtu aliyebakiza dakika 90 kufa na movie imetoka 2014 na mwandishi wa movie na muigizaji Robin Williams wote wamekufa mwaka huo huo 2014
Je walijua au bahati mbaya
Hakuna alie ugua kati yao mkuu.Kama walikuwa na ugonjwa wa muda mrefu inawezekana, vinginevyo hakuna ajuaye kesho
Sisi tuliosomea ushagoo tunasema walikomiti suisaidi...Hakuna alie ugua kati yao mkuu.
Robin Williams alifariki kutokana na matatizo ya kimahusiano, matumizi ya madawa ya kulevya, msongo wa mawazo na kufilisikia. Hii ilipelekea akaamua kujinyonga.
Assi Dayan huyu alikufa kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya.
Aisee we jamaa kumbe nawe ni Celebrity...R.i.P Classmates
Kwa hiyo ambao sio devil worshiper,,Hawafii??Devil worshiper
No,sina maana hiyo isipokuwa hawa watu huwa wanajua mwisho wao kutokana na maagano yao hivyo hata movie hutengeneza kwa namna ya kutoa ujumbe japo ni wachache sana huelewa.Kwa hiyo ambao sio devil worshiper,,Hawafii??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]R.i.P Classmates
ulikuwa mtoro sana, ndio maana wewe sio maarufuR.i.P Classmates
MZeee meza dawa kwanza😁😂😂R.i.P Classmates
Naona umeanza kupoteza adabu mwanangu, ngoja tukakujadili na mama yako...🤨MZeee meza dawa kwanza😁😂😂
Yamekuwa hayo mzee🤔🤔, SI umesema ulisoma na huyo supastaa.Naona umeanza kupoteza adabu mwanangu, ngoja tukakujadili na mama yako...🤨