Je, Wamarekani wako tayari kuongozwa na mwanamke?

Je, Wamarekani wako tayari kuongozwa na mwanamke?

Mfanowake

Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
25
Reaction score
35
Au Dunia iko mtegoni ilikuyafikia yaliyosikika kabla, yasioonekana ambayo hayana budi kutokea na na kuipata Dunia? Namaanisha USA! Nawaza kuhusu Hilary nakumbuka Winnie Nov 4!
 
Thubutu..!

Na jinsi wanavyoandamwa na vitisho vya mlipuko wa vita kila kona duniani?

Kamara akae kwa kutulia
 
Au Dunia iko mtegoni ilikuyafikia yaliyosikika kabla,yasioonekana ambayo hayana budi kutokea na na kuipata Dunia?.Namaanisha USA! Nawaza kuhusu Hilary nakumbuka Winnie!Nov 4!
Kamala Haris ni mnyonge na dhaifu sana, ni vigumu kumpa wajibu mzito kwenye ulimwengu uliojaa ubabe kila kona ya dunia..

Donald J Trump atachaguliwa muhula wa pili kwenye uchaguzi mkuu wa marekani Nov ijayo 2024🐒
 
Kamala Haris ni mnyonge na dhaifu sana, ni vigumu kumpa wajibu mzito kwenye ulimwengu uliojaa ubabe kila kona ya dunia..

Donald J Trump atachaguliwa muhula wa pili kwenye uchaguzi mkuu wa marekani Nov ijayo 2024🐒
Unaizungumziaje Tanzania na uchaguzi ujao?

Bado tuendelee kuwaamini ambao wewe unaingiwa na hofu kwamba hawastahili kuongoza USA,

Tafadhali karibu na usiongozwe na mahaba
 
Kama Kamala akiwa rais wamarekani..kama atasitisha kutoa msaada kwa Israeli na ukrein akitaka kusitisha umiliki wa silaha marekani..

Lazima ata pigwa risasi afe , makam wake aongoze ..
 
Unaizungumziaje Tanzania na uchaguzi ujao?

Bado tuendelee kuwaamini ambao wewe unaingiwa na hofu kwamba hawastahili kuongoza USA,

Tafadhali karibu na usiongozwe na mahaba
gentleman, mbona iko wazi na bayana sana kwamba,
kiongozi wa Tanzania alieko mamlakani hivi sasa ni miongoni mwa viongozi marais wanawake shupavu wenye ushawishi na nguvu zaidi za kimamlaka duniani..

Na kwasababu hiyo basi,
ni kiongozi anaeminika, anakubalika, anaependwa zaidi na anaungwa mkono na wananchi wengi zaidi Tanzania.

Infact,
Kiongozi wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Samia Suluhu Hassan anapewa nafasi kubwa zaidi ya ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu mwepesi sana wa Oct. 2025, kutokana na record yake nzuri mno ya maendeleo ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake 🐒
 
gentleman, mbona iko wazi na bayana sana kwamba,
kiongozi wa Tanzania alieko mamlakani hivi sasa ni miongoni mwa viongozi marais wanawake shupavu wenye ushawishi na nguvu zaidi za kimamlaka duniani..

Na kwasababu hiyo basi,
ni kiongozi anaeminika, anakubalika, anaependwa zaidi na anaungwa mkono na wananchi wengi zaidi Tanzania.

Infact,
Kiongozi wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Samia Suluhu Hassan anapewa nafasi kubwa zaidi ya ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu mwepesi sana wa Oct. 2025, kutokana na record yake nzuri mno ya maendeleo ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake 🐒
Tutolee ujinga hapa kwanza inatakiwa lianzishwe jukwaa la machawa ili mue na mambo yenu huko hii ni international forum weka mambo ya msingi
 
Unaizungumziaje Tanzania na uchaguzi ujao?

Bado tuendelee kuwaamini ambao wewe unaingiwa na hofu kwamba hawastahili kuongoza USA,

Tafadhali karibu na usiongozwe na mahaba
Wekeni uzi wa wake huu ni wa Kamala hapo ujamsaidia muanzisha uzi
 
Tutolee ujinga hapa kwanza inatakiwa lianzishwe jukwaa la machawa ili mue na mambo yenu huko hii ni international forum weka mambo ya msingi
nyumbu tangu lini akawa muerevu zaidi ya mihemko tu 🤣

nimemjibu alie niuliza swali kuhusu Tanzania..

ikiwa umefika ukomo wako wa mawazo na fikra mbadala dhidi ya maelezo au hoja inayokulemea, huna haja ya kubabaika na ghadhabu ambazo completely ni useless 🐒
 
Back
Top Bottom