Fuga Kisasa
Senior Member
- Jan 16, 2016
- 165
- 91
UPS ni kampuni inayofanya shughuli za kusafirisha mizigo kutoka nje ya nchi kuja au kupeleka nje ya nchi.
Niliagiza mzigo wangu kutoka nje ya nchi, umefika tayari umefika na nimeambiwa natakiwa kuulipia.
SIFA ZA MZIGO WANGU:
1. Una KG 10
2. Una thamani ya USD 95 (Ambayo ni sawa na TZS 209,000)
3. Mzigo huo ni sample (hata nje ya mzigo umeandikwa hivyo)
MAMBO WALIYONIAMBIA UPS:
1. Natakiwa kulipia gharama zisizopungua laki moja na kumi na nne ambayo ni nusu ya bei ya kununulia mzigo.
2. Hiyo laki moja na kumi na nne= 80,000 ya clearing fee: 20,000= airport handling fee na 14,000 ni ushuru
2. Nimeambiwa naweza kuwatumia wao wafanye clearence ya huo mzigo au nitumie agent mwingine LAKINI nikitumia agent mwingine nitatakiwa kulipia 57,000 kwao ili wanipatie hiyo document kutoka customs ambayo ndio nitaiepeleka kwa agent mwingine ili anitolee mzigo wangu.
3. Nimewauliza hiyo doc kama wao wanapewa bure kwanini mimi nilipie 57,000? wakasema hata wao wanalipia hiyo gharama ya doc kwa Swissport.
NAOMBA KUFAHAMU YAFUATAYO:
1. Sample huwa inatakiwa kulipia ushuru?
2. Maelezo yote niliyoyapewa na UPS hapo juu ni sahihi?
Natanguliza shukrani wakuu
cc: Ndg.MWASALEMBA. JZHOELO Mwl.RCT Njunwa Wamavoko
Niliagiza mzigo wangu kutoka nje ya nchi, umefika tayari umefika na nimeambiwa natakiwa kuulipia.
SIFA ZA MZIGO WANGU:
1. Una KG 10
2. Una thamani ya USD 95 (Ambayo ni sawa na TZS 209,000)
3. Mzigo huo ni sample (hata nje ya mzigo umeandikwa hivyo)
MAMBO WALIYONIAMBIA UPS:
1. Natakiwa kulipia gharama zisizopungua laki moja na kumi na nne ambayo ni nusu ya bei ya kununulia mzigo.
2. Hiyo laki moja na kumi na nne= 80,000 ya clearing fee: 20,000= airport handling fee na 14,000 ni ushuru
2. Nimeambiwa naweza kuwatumia wao wafanye clearence ya huo mzigo au nitumie agent mwingine LAKINI nikitumia agent mwingine nitatakiwa kulipia 57,000 kwao ili wanipatie hiyo document kutoka customs ambayo ndio nitaiepeleka kwa agent mwingine ili anitolee mzigo wangu.
3. Nimewauliza hiyo doc kama wao wanapewa bure kwanini mimi nilipie 57,000? wakasema hata wao wanalipia hiyo gharama ya doc kwa Swissport.
NAOMBA KUFAHAMU YAFUATAYO:
1. Sample huwa inatakiwa kulipia ushuru?
2. Maelezo yote niliyoyapewa na UPS hapo juu ni sahihi?
Natanguliza shukrani wakuu
cc: Ndg.MWASALEMBA. JZHOELO Mwl.RCT Njunwa Wamavoko