Je Wanafunzi walio omba mkopo wa kujiendeleza na elimu ya juu lakini walisoma shule binafsi je wanaweza pata mkopo

Je Wanafunzi walio omba mkopo wa kujiendeleza na elimu ya juu lakini walisoma shule binafsi je wanaweza pata mkopo

cadet

New Member
Joined
Feb 14, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Wana JF naombeni kujuzwa nina ndugu yangu ameomba mkopo wa kujiendeleza na elimu wakati selection ya kwanza inatoka account yake ilikuwa inaleta ( your application has been submited successful ).

Then selection 2 inatoka account ya dogo ikachange kuenda SIPA lakin kila tukijalibu kuangalia ugawaji wa mkopo akuna kinacho tokea ( No allocation approved for index number ×××× ) je dogo hapo anakuwa amekosa ama maana vyuo vimeisha funguliwa na atujui mustakabali wake na kila nikijaribu kuangalia kwenye websites na social media account zao akuna wanacho jibu naombeni kujuzwa
 
Back
Top Bottom