Je, wanasiasa na wasomi wote wa Tanzania wakizeeka wanakuwa na ubunifu wa kufanana?

Je, wanasiasa na wasomi wote wa Tanzania wakizeeka wanakuwa na ubunifu wa kufanana?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Ukimuangalia KFC anazeeka na ujasiliamali wake wa Migahawa, Ukimuangalia Warren Buffet anazeeka na ujasiliamali wake wa uwekezaji na alianza kutoboa akiwa mzee. Ukienda mjini Unakuta na vibabu na vibibi kizee vya kihindi vinazeeka kwenye ujasiliamali wao wa maduka, viwanda etc.

Wazee wa Kibongo wakistaafu na kuchoka woote utadhani wameambiana wanakimbilia kulima na kufuga. Nilikuwa na mzee wangu mmoja anasema anataka kupanda V8 yake azunguke nchi nzima kutafuta eneo la kulima na kufuga.

Nikajiuliza hawa wazee wetu wasomi mbona kuna mambo mengi wenzetu wanafanya wao wamechagua mambo magumu ambayo hayako nyuzi 90° na uwezo wao? Hii inajumuisha na wazee wanasiasa wote.

Kule kuna risk ya kuumwa na nyoka, kukoswa huduma nzuri za matibabu, usafiri ni shida, wadau wakikubadilikia hata msaada wa polisi tu inshu.

Je, nini chanzo cha huu ubunifu wa wazee wetu, je kuna chochote cha zaidi wanaweza kufanya kuliko hilo? Je wazee wa vijijini na wa mjini wakizeeka akili zinafanana?

Ni hayo tu.

Mtumishi Matunduizi.
 
Ukimuangalia KFC anazeeka na ujasiliamali wake wa Migahawa, Ukimuangalia Warren Buffet anazeeka na ujasiliamali wake wa uwekezaji na alianza kutoboa akiwa mzee . Ukienda mjini Unakuta na vibabu na vibibi kizee vya kihindi vinazeeka kwenye ujasiliamali wao wa maduka, viwanda etc.


Wazee wa kibongo wakistaafu na kuchoka woote utadhani wameambiana wanakimbilia kulima na kufuga. Nilikuwa na mzee wangu mmoja anasema anataka kupanda V8 yake azunguke nchi nzima kutafuta eneo la kulima na kufuga.

Nikajiuliza hawa wazee wetu wasomi mbona kuna mambo mengi wenzetu wanafanya wao wamechagua mambo magumu ambayo hayako nyuzi 90° na uwezo wao? Hii inajumuisha na wazee wanasiasa wote.

Kule kuna risk ya kuumwa na nyoka, kukoswa huduma nzuri za matibabu, usafiri ni shida, wadau wakikubadilikia hata msaada wa polisi tu inshu.

Je nini chanzo cha huu ubunifu wa wazee wetu, je kuna chochote cha zaidi wanaweza kufanya kuliko hilo? Je wazee wa vijijini na wa mjini wakizeeka akili zinafanana?

ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi
bado tuko kwenye evolution. Unayoyasema ni kweli. nadhani generation ijayo utakumbwa na waajiliwa kujiandaa na miradi binafsi pindi tu wanapoanza kazi ili uzeeni wawe kwenye miradi yao. Shida ni mitaji midogo, siyo kuwa mtu anakuwa hana wazo! Akistaafu akapata pensheni ndiyo anaona afuge kuku, alime akijiweka na shughuli za kufanya
 
Hao wahindi wameamua kuzeekea kwenye maduka na wazee watz wameamua kuzeekea mashambani ttz lipo wapi hapo
Nilifikiri kwa sababu wengi ni wasomi, wametembea nchi nyingi wanaexposure kubwa Kuliko wazee wetu wa vijijini basi wangegawanyika kwenye industry mbailmbali ila naona karibu wote wameenda sehemu moja. Kuna uwezekano kuna kitu cha kujifunza ili hayo wanayofanya uzeeni basi yafanyike ujanani moja kwa moja kuepusha mizunguko.

Nakupata kwa uzuri mtaalam wa likes.
 
Nilifikiri kwa sababu wengi ni wasomi, wametembea nchi nyingi wanaexposure kubwa Kuliko wamee wetu wa vijijini basi wangegawanyika kwenye industry mbailmbali ila naona karibu wote wameenda sehemu moja. Kuna uwezekano kuna kitu cha kujifunza ili hayo wanayofanya uzeeni basi yafanyike ujanani moja kwa moja kuepusha mizunguko.

Nakupata kwa uzuri mtaalam wa likes.
Kwani kilimo na ufugaji haviwezi kuwa industry
Kilimo na ufugaji ni sekta ambayo bado watu hawajaweza kuwekeza kikamilifu nchini kwetu na mahitaji ni makubwa
 
Ukimuangalia KFC anazeeka na ujasiliamali wake wa Migahawa, Ukimuangalia Warren Buffet anazeeka na ujasiliamali wake wa uwekezaji na alianza kutoboa akiwa mzee . Ukienda mjini Unakuta na vibabu na vibibi kizee vya kihindi vinazeeka kwenye ujasiliamali wao wa maduka, viwanda etc.


Wazee wa kibongo wakistaafu na kuchoka woote utadhani wameambiana wanakimbilia kulima na kufuga. Nilikuwa na mzee wangu mmoja anasema anataka kupanda V8 yake azunguke nchi nzima kutafuta eneo la kulima na kufuga.

Nikajiuliza hawa wazee wetu wasomi mbona kuna mambo mengi wenzetu wanafanya wao wamechagua mambo magumu ambayo hayako nyuzi 90° na uwezo wao? Hii inajumuisha na wazee wanasiasa wote.

Kule kuna risk ya kuumwa na nyoka, kukoswa huduma nzuri za matibabu, usafiri ni shida, wadau wakikubadilikia hata msaada wa polisi tu inshu.

Je nini chanzo cha huu ubunifu wa wazee wetu, je kuna chochote cha zaidi wanaweza kufanya kuliko hilo? Je wazee wa vijijini na wa mjini wakizeeka akili zinafanana?

ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi
Kilimo kina hitaji mtaji mkubwa kuliko biashara zingine, ukifanya labour intesive badala ya capital intensive utashindwa kabisa,
 
Je nini chanzo cha huu ubunifu wa wazee wetu, je kuna chochote cha zaidi wanaweza kufanya kuliko hilo? Je wazee wa vijijini na wa mjini wakizeeka akili zinafanana?
Umezungumzia ubunifu halafu umewalenga Wazee sasa hao hao Wazee wameanza kuwananga na kuwatukana Vijana kwamba sio wabunifu au hujasikia hio na hata kuona hujaona Wazee wameshupaza shingo wanasema Vijana wanatakiwa wawe wabunifu ili wawaze kujiajiri wenyewe sio kukaa vijiweni kusubiri serikali iwaajiri hio ndio kauli ya Wazee Muda huo wao wanatembelea V8 LC 300 na ndinga zingine kali kwa Pesa za haohao Vijana wanaowatukana kwamba sio wabunifu inabidi wajiajiri wenyewe Serikali haina ajira za kuwapa
 
Kwani kilimo na ufugaji haviwezi kuwa industry
Kilimo na ufugaji ni sekta ambayo bado watu hawajaweza kuwekeza kikamilifu nchini kwetu na mahitaji ni makubwa
Sure…
Japo ni nadhani kuna umuhimu wa kuandaaa mipango na utekelezaji uanze kabla ya kustaafu ili kuongeza uwezekano wa kufanikiwa.
 
Sure…
Japo ni nadhani kuna umuhimu wa kuandaaa mipango na utekelezaji uanze kabla ya kustaafu ili kuongeza uwezekano wa kufanikiwa.
Ili mzee akae kwa amani lazima awe na pesa ya kutosha, na backup incase mambo yanagoma. Vinginevyo atakuwa ameamua kuwahisha kifo tu.
 
Umezungumzia ubunifu halafu umewalenga Wazee sasa hao hao Wazee wameanza kuwananga na kuwatukana Vijana kwamba sio wabunifu au hujasikia hio na hata kuona hujaona Wazee wameshupaza shingo wanasema Vijana wanatakiwa wawe wabunifu ili wawaze kujiajiri wenyewe sio kukaa vijiweni kusubiri serikali iwaajiri hio ndio kauli ya Wazee Muda huo wao wanatembelea V8 LC 300 na ndinga zingine kali kwa Pesa za haohao Vijana wanaowatukana kwamba sio wabunifu inabidi wajiajiri wenyewe Serikali haina ajira za kuwapa
Nadhani wao ndio wanapaswa kiwa namba moja kwa ubunifu maana wameona mengi. Tunatarajia kuwaona wametawanyika kila mmoja katika eneo flani la ubunifu ili wawe mfano bora kwa vijana.

Ila wote wakikimbilia mashambani maana yake kilimo na ufugaji vinapaswa kuwa somo la lazima katika kila level ya elimu na kila semina za kazini tukizeeka wote twende huko tukiwa na ideas za kushiba.
 
Kilimo kina hitaji mtaji mkubwa kuliko biashara zingine, ukifanya labour intesive badala ya capital intensive utashindwa kabisa,
Ni kweli kabisa. Niliwahi kutembelea shamba la Mh Pinda kule Zuzu nikajifunza kama ni kilimo kisicho na mawazo lazima uwe na pesa mingi sana. Huwezi kuwa na stress
 
Kwani kilimo na ufugaji haviwezi kuwa industry
Kilimo na ufugaji ni sekta ambayo bado watu hawajaweza kuwekeza kikamilifu nchini kwetu na mahitaji ni makubwa
Kwani kilimo na ufugaji haviwezi kuwa industry
Kilimo na ufugaji ni sekta ambayo bado watu hawajaweza kuwekeza kikamilifu nchini kwetu na mahitaji ni makubwa
Asante
 
Back
Top Bottom