Je, Wanasiasa wetu wanaelewa Maana ya Ajira? Je Wanajua Kwamba Watanzania Wengi ni Vibarua tu?

Je, Wanasiasa wetu wanaelewa Maana ya Ajira? Je Wanajua Kwamba Watanzania Wengi ni Vibarua tu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Moja ya Sifa kuu ya Uchumi wa nchi ni kutengeneza Ajira kwa Watu wake

Je, Uchumi wa Tanzania unatengeneza Ajira za kutosha ukiondoa zile za sekta ya umma?

Je, sekta binafsi ikiongozwa na Mwajiri wao mkuu Mohamed Enterprise wanatoa Ajira au Vibarua?

Nimechokoza mada 🐼
 
Back
Top Bottom