Si watabebwa tena safari hii simba itabidi waongeze bahashaMatokeo yake tukikutana na Yanga ...tunakandwa Tena....5 [emoji113]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukisia muhaho ndo huu wameupata hawa Utopwile...yani wamekua kama hawajielewi wanataka na sisi tuteseke ili iwejee ss tumefurahia mbaya... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wadanganye Utowizards wenzio...Oyaa mi age imeenda sana [emoji23]
Yanga makopo...hii hii ya kumwaga maji ya maiti viwanjaniYanga kiboko ya waarabu na makolo...au Yanga ipi??
Hamna mkuu ...sema mm Huwa nanapenda kuwa mkweliSwala la mchezo kuongezewa dakika nyingi inategemeana na wasted time, ukiangalia singida baada ya kufunga bao walikiwa wanajaribu kupoteza mda plus mda ko kilichofanyika ni compasation ya mda ambao mpira haujachezwa kwa upotezaji wa mda ndio maana game likaenda dakika nyingi tatzo wnau uto mnapenda kila kitu ionekane tumebebwa, what if kama singida wangeongeza mabao mengine ndani ya ile additional time napo mngesema singida imebebwa??
Mpira unadunda ko kama kwa mtazamo wako unahis kuna mtu kabebwa ww ndo hujui soccar,
Alafu huyu mtoa post ni yanga asitusnitch hapa wanasimba hakuna mwanasimba anatetea huu ujinga
Simba watamfukuza moNa Yanga itabidi waongezwe dozi ya kichapo at least iwe 7...0
Basi wataendelea kupasuka kila sikuHawana jeuri hiyo mkuu