Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 599
Hahahahahaha mkuu acha tu enzi hizo unafukuzia mwanamke mtaa wa 20ni ukweli unaweza kumsindikiza kwa umbali wa km 8,mkiaagana tu unawaza namna ya ukirudi kwako
Hii inatufundisha kuwa mwanaume siku zote hufanya maisha ya mwanamke kuwa mepesi,
mbona habari ililetwa jana na juzi?sehemu za siri za mwanamke ni kavu ila mwanaume akizigusa hulainika
Hii inatufundisha kuwa mwanaume siku zote hufanya maisha ya mwanamke kuwa mepesi,
Sehemu za siri za mwanaume ni laini lakini mara tu mwanamke anapozigusa gusa huwa ngumu wakati huo huo...
Na hii inatufundisha kuwa siku zote mwanamke hufanya maisha ya mwanaume kuwa magumu pindi wakiwa pamoja.
TUSIBISHANE
naam mkuu...Sina cha kufichaYaan Tumain nzogera unatuma jina na picha og kabisaaaa......big up
maisha malaini yakichanganyika na maisha magumu unadhani nini kinatokea kama sio mchanganyiko wa watotosehemu za siri za mwanamke ni kavu ila mwanaume akizigusa hulainika
Hii inatufundisha kuwa mwanaume siku zote hufanya maisha ya mwanamke kuwa mepesi,
Sehemu za siri za mwanaume ni laini lakini mara tu mwanamke anapozigusa gusa huwa ngumu wakati huo huo...
Na hii inatufundisha kuwa siku zote mwanamke hufanya maisha ya mwanaume kuwa magumu pindi wakiwa pamoja.
TUSIBISHANE