sasa Extrovert babaaa…huoni kuwa wewe ndio utakuwa mnafiki namba moja kabla yangu kwa kuisemea nafsi yangu?Kwenye keyboard hawezi ila ikitokea fursa ni dhahiri hawezi kumnyima. Huo ubavu hana wanawake na unafiki ni mapacha.
hata wewe demu wako au mkeo ni EX kwa wengine. Kwa hiyo analiwa kama unavyokula wengine. Ndo maisha yalivyo. Sharing is caring.Habari wana JF,Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝.
Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.
Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.
Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.
Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio 😎😎.
Huo ubavu huna bana mambo yasiwe mengi. Angekuwa huyo kijana ni garasa tu ambalo halijaweka alama yeyote hapo ningekubali ila ana mtoto na wewe na kafuta umaskini kwenye maisha yako hio ni ngumu. Kadanganye watotosasa Extrovert babaaa…huoni kuwa wewe ndio utakuwa mnafiki namba moja kabla yangu kwa kuisemea nafsi yangu?
Acha kukariri jombaa unauhakika gani huo ubavu sina?jizungumzie wewe kwanza sawa kiongozi😊
Haya mkuu mambo yasiwe mengi maana unaonekanaga na kujifanya unajua kila kitu😁Huo ubavu huna bana mambo yasiwe mengi. Angekuwa huyo kijana ni garasa tu ambalo halijaweka alama yeyote hapo ningekubali ila ana mtoto na wewe na kafuta umaskini kwenye maisha yako hio ni ngumu. Kadanganye watoto
. Yeah ni kweli kabisa mkuu, Kuoa kunahitaji kifua..Ndio usikae ukajiuliza kwanini vijana hawataki kuoa majibu unayo, sababu ya matukio
Sawa yaishie hapa, mi sio najua kila kitu ila mifano tunaishi nayo mtaani. Watu hata walioachana kwa vita kama Ukraine na Urusi bado wanakutana na kujazana mimba kabisa 😂Haya mkuu mambo yasiwe mengi maana unaonekanaga na kujifanya unajua kila kitu😁
Kuna tofauti ya kujua vitu vingi na kujua kila kitu🥂.
Uwe na wakati mwema
Mtu akimkata mtu kichwa watu wanakuja juu, kuepusha Shari ni kujiweka pembeni tu km yule mwamba aliegundua mke anaetaka kumuoa Jana yake alilala na mpenzi wake wa zamani alafu kibaya zaidi na kwenye sherehe akaudhulia pia yaan Jana umekula mke wangu alafu leo unakuja kusherehekea ukumbini ukimuona anaolewa na Mimi wakati Jana yake umetoka kumfunuafunua na kumkunjakunja mikunjo yote unayoijua mpaka unataka kumtia ulemavu kwa kumkunjakunja na mbaya zaidi ukapita barabara zote vumbi na lami. Yeah ni kweli kabisa mkuu, Kuoa kunahitaji kifua..
. Kuna jama siku alikua anaoa lakini mke wake aliliwa na Ex wake chooni kabla shughuli ya ndoa haija aza.
Ulijichanganya sana mkuuSio issue ya mbususu mkuu hio nakupinga kuna kitu haukielewi linapokuja suala zima la Upendo wengine hua ni soft hearted wana Upendo wa Agape we do good things for other people especially those we deeply love haijalishi umemuoa au la it doesn't matter at all na unafanya ukitegemea kwamba huko mbele hayatotokea mabalaa Ila sasa mambo yanakuja kua tofauti na vile ulivyotarajia kinachofuata ni zaidi ya hatari kuepusha balaa zaidi ni kumuacha aende cha ajabu baada ya mda akikumbuka wema wako uliomtendea anakutafuta maana anajua kwa shida hii niliyonayo akiwepo mtu fulani ndani ya Sekunde moja kashaimaliza,
It's all about love nothing else sio kuhusu mbususu na mengine ni zaidi ya hivyo mbususu ni suala la ziada maana zipo zinazouzwa pia tena bei nafuu kwa hio ni suala zima la Upendo tu na kupenda we do it for love sio kwamba unafanya ili in return akupe mbususu hell no haipo hivyo, hope utakua umenielewa
Ni kweli mkuu, ndo maana nikawaza, haya masuala ya kusema nakupenda sina mwingine zaidi yako 😒😒, Tunadanganyana sana.hata wewe demu wako au mkeo ni EX kwa wengine. Kwa hiyo analiwa kama unavyokula wengine. Ndo maisha yalivyo. Sharing is caring.
Sio next time ni this time akili kumkichwa sitaki mambo mengi, ndio sababu tunawanunuaUlijichanganya sana mkuu
Huyo malaya alikuwa anakutumia tu
Next time acha kujipendekeza kwa hao viumbe
View attachment 2843792
Hakuna nouma mkuu lakini punguza kukariri itakusadia sana🥂🥂Sawa yaishie hapa, mi sio najua kila kitu ila mifano tunaishi nayo mtaani. Watu hata walioachana kwa vita kama Ukraine na Urusi bado wanakutana na kujazana mimba kabisa 😂
Unajielewa sanaSitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊