kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 613
- 791
Ni kumbukumbu tu
kwa sie tulio ishi uswaz miaka ile ya 2000 kuja chini...
Unatumwa dukan ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu ww unaamua kupitia sehem unanunua andaz la sh mia ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....
Hahahaha.....
Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy [emoji16][emoji16][emoji16]
kwa sie tulio ishi uswaz miaka ile ya 2000 kuja chini...
Unatumwa dukan ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu ww unaamua kupitia sehem unanunua andaz la sh mia ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....
Hahahaha.....
Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy [emoji16][emoji16][emoji16]