Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Je wangapi tumemiss Ile mivurugano pale Simba
sometimes mpira ni mchezo wa hisia Nilikuwa naenjoy sana zile moments za ndugu zetu wanasimba wakiimba hatumtaki mangungu ....mara hatumtaki mudi.....mara makolo wanalia Baada ya mechi. it was a best ever enjoyable moment by then
japo sipendi wanasimba warudi kuteseka ...ila napenda zile moment zirudi kidogo naona makolo wameanza kuota vitambi
NB: kitengo Cha fitina ....naomba kiingie kazini[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
sometimes mpira ni mchezo wa hisia Nilikuwa naenjoy sana zile moments za ndugu zetu wanasimba wakiimba hatumtaki mangungu ....mara hatumtaki mudi.....mara makolo wanalia Baada ya mechi. it was a best ever enjoyable moment by then
japo sipendi wanasimba warudi kuteseka ...ila napenda zile moment zirudi kidogo naona makolo wameanza kuota vitambi
NB: kitengo Cha fitina ....naomba kiingie kazini[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app