Je, wanyama wana utambuzi tusioujua zaidi ya tunaoujua?

Je, wanyama wana utambuzi tusioujua zaidi ya tunaoujua?

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,373
Tangu jana nimekua nikiumiza Kichwa kwakua niliona BATA (Wanaofugwa) akimgomea mtoto mwenye umri kama wa miaka saba kutii amri ya kuingia ndani kwao. Yule mtoto akimchapa yule bata fimbo, yule bata anamfukuza yule mtoto kwa hasira.

Lakini yule bata alipo niona mimi akawa ananikimbia. Sasa nikawa najiiuliza, utambuzi gani anaufanya huyu bata, jamii ya ndege ambae ni mpole sana.

Vile vile, wanyama jamii ya Nyani au Tumbiri, huwa hawa waogopi akina Mama hata wawe kundi, ila wakimuona Mwanamume mmoja tu, wanamkimbia.

Tunaweza kutoa maelezo gani juu ya hili?
 
Tangu jana nimekua nikiumiza Kichwa kwakua niliona BATA (Wanaofugwa) akimgomea mtoto mwenye umri kama wa miaka saba kutii amri ya kuingia ndani kwao. Yule mtoto akimchapa yule bata fimbo, yule bata anamfukuza yule mtoto kwa hasira.

Lakini yule bata alipo niona mimi akawa ananikimbia. Sasa nikawa najiiuliza, utambuzi gani anaufanya huyu bata, jamii ya ndege ambae ni mpole sana.

Vile vile, wanyama jamii ya Nyani au Tumbiri, huwa hawa waogopi akina Mama hata wawe kundi, ila wakimuona Mwanamume mmoja tu, wanamkimbia.

Tunaweza kutoa maelezo gani juu ya hili?
Inshu ni brain bro....ubongo umegawanyika sehem 3,mbele,kati,nyuma.....ktk ubongo wa mbele ndo maswala mazima ya reasoning,planning,emotion,behavior na kusolve problemm
kwa hiyo mnyama mwenye ubongo wa mbele mkubwa.....anasifa kama nilizoztaja za ubongo wa mbele....wanyama wa jamii ya homo sapiens na nyangumi wana maamuz kama binadam....wana frontal brain kubwa km binadam ila hawa2zd....thanx
 
Inshu ni brain bro....ubongo umegawanyika sehem 3,mbele,kati,nyuma.....ktk ubongo wa mbele ndo maswala mazima ya reasoning,planning,emotion,behavior na kusolve problemm
kwa hiyo mnyama mwenye ubongo wa mbele mkubwa.....anasifa kama nilizoztaja za ubongo wa mbele....wanyama wa jamii ya homo sapiens na nyangumi wana maamuz kama binadam....wana frontal brain kubwa km binadam ila hawa2zd....thanx

So, na bata yuko ktk jamii ya Homo Sapience?
 
Tangu jana nimekua nikiumiza Kichwa kwakua niliona BATA (Wanaofugwa) akimgomea mtoto mwenye umri kama wa miaka saba kutii amri ya kuingia ndani kwao. Yule mtoto akimchapa yule bata fimbo, yule bata anamfukuza yule mtoto kwa hasira.

Lakini yule bata alipo niona mimi akawa ananikimbia. Sasa nikawa najiiuliza, utambuzi gani anaufanya huyu bata, jamii ya ndege ambae ni mpole sana.

Vile vile, wanyama jamii ya Nyani au Tumbiri, huwa hawa waogopi akina Mama hata wawe kundi, ila wakimuona Mwanamume mmoja tu, wanamkimbia.

Tunaweza kutoa maelezo gani juu ya hili?
Siku ikitokea binadamu akawa na uwezo wa kujibadili na kuwa mnyama wa aina yoyote ile na hatimaye kujibadili tena na kurudia hali yake ya ubinadamu, wakati huo huo aki-maintain utambuzi ule wa kilealichokiapata/kukiona wakati akiwa katika hali tofauti na ile ya ubinadamu, ndipo jibu sahihi la swali ulilouliza litapata majibu sahihi. Kwa sasa hatuna haki ya kusema kwa mfano kuwa ng'ombe tunamzidi akili/anatuzidi akili wakati hatujawahi kuwa ng'ombe tukaweza kujua ng'ombe ki-asili akili yake ikoje na utashi wake ni nini hasa! Mungu pekee anaweza kujibu hili!
 
Siku ikitokea binadamu akawa na uwezo wa kujibadili na kuwa mnyama wa aina yoyote ile na hatimaye kujibadili tena na kurudia hali yake ya ubinadamu, wakati huo huo aki-maintain utambuzi ule wa kilealichokiapata/kukiona wakati akiwa katika hali tofauti na ile ya ubinadamu, ndipo jibu sahihi la swali ulilouliza litapata majibu sahihi. Kwa sasa hatuna haki ya kusema kwa mfano kuwa ng'ombe tunamzidi akili/anatuzidi akili wakati hatujawahi kuwa ng'ombe tukaweza kujua ng'ombe ki-asili akili yake ikoje na utashi wake ni nini hasa! Mungu pekee anaweza kujibu hili!

Unachosema ni sahihi ila Utafiti juu ya maumbile Dunia yetu, wakiwemo wanyama, hutusaidia kutawala mzingira yetu. Ndio maana Science imefanikisha maaendeleo makubwa kwa binadamu.
 
Back
Top Bottom