Unaongelea wapinzani as if siyo watanzania kwani mahusiano ya Tanzania na nchi zingine ni mahusiano binafsi ya CCM siyo ya Tanzania nzima?Huwezi ku linganisha Tanzania tuliyo nayo mwaka 2020 na Tanzania tuliyo kuwa nayo mwaka 1961. Nyerere kuwa rais wa kwanza kuna tokana na yeye kuwa mtu aliye ongoza Tanzania kutoka katika mifumo ya ki koloni. Kupata undani wa kilicho tokea kipindi hicho ni ngumu lakini vile vile katika masuala haya ni vyema kuji uliza kama kulikuwa na mtu mwingine ambaye angekuwa sahihi zaidi kuliko mwalimu Nyerere...
Mbona Magufuli alilazimika kuimport viongozi kutoka upinzani baada ya kukosa watu wa kuteua huko mbogamboga?Huwezi ku linganisha Tanzania tuliyo nayo mwaka 2020 na Tanzania tuliyo kuwa nayo mwaka 1961. Nyerere kuwa rais wa kwanza kuna tokana na yeye kuwa mtu aliye ongoza Tanzania kutoka katika mifumo ya ki koloni. Kupata undani wa kilicho tokea kipindi hicho ni ngumu lakini vile vile katika masuala haya ni vyema kuji uliza kama kulikuwa na mtu mwingine ambaye angekuwa sahihi zaidi kuliko mwalimu Nyerere...
Dunia ni kijiji my dear, huwezi kuishi peke yako. Leo hii Tanzania iki wekewa vizuizi na nchi zingine hatu wezi kupiga hatua. Leo hii tuki amua kuwa na viongozi ambao hawana mahusiano na nchi zingine duniani, yaani "diplomacy", mambo hayaendi. Tafakari.Pole sana ndugu yangu. Unauelewa duni sana kuhusu mahusiano ya demokradia na shughuli za kisiasa na uchumi. Kama unauelewa hata ule wa kawaida, jibu maswali yafuatayo utajiongezea maarifa:..
Wewe unadhani hawanaMada kuu ni kama wapinzani wana mahusiano mazuri na yakutosha na nchi zingine.
Halafu vyama vya wapinzani Tanzania ni vya watu binafsi.Chadema ni cha MTEI.ACT WAZALENDO ni cha ZITTO KABWE.Hivi ni vyama vya biashara.Si vyama vya kuleta maendeleo ya nchi.Wana bodi,
Kampeni zime pamba moto, ahadi zina zidi ku mwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wana zidi ku serebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza kuwa fikia wapiga Kura...
Hata wakoloni walisema hivihivi waafrika wataweza kujiendesha wenyewe bila ya wao kuwepo madarakani? Kule Kenya walisema hivyo hivyo wakati wa Moi Kibaki kama wapinzani wangeweza kuendesha serikali bila ya wao chama tawala. Hata wazee wetu wanasema hivi mwanangu ataweza kujitegemea bila ya mie. Haya yote yanaitwa mawazo mgandoSwali ambalo nina jaribu kuji uliza ni: Je, wagombea wa Vyama vya Upinzani wanaweza kuunda serikali imara. Kuna mengi ambayo wapinzani wana sema kuhusu chama tawala lakini endapo wapinzani watashinda uchaguzi huu, baraza la mawaziri litakuwaje?, ma balozi watakuwa akina nani?, watawezaje kuendesha nchi?
CCM ndio wenye uwezo wa kuunda serikali na serikali inaindwa namna hii" Ruth John magufuli ni DAS Morogoro, na mume wake Mr Hoffman Sanga ni DAS mvomero mkoa wa Morogoro. . ovaWana bodi,
Kampeni zime pamba moto, ahadi zina zidi ku mwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wana zidi ku serebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza kuwa fikia wapiga Kura..
Je hivi kuna mtu alizaliwa ili awe rais au kiongozi wa nchi? Hivi kiongozi tuliyokuwa naye je wewe ulitegemea?Tuwe wakweli, Lissu anaweza kuongoza Serikali? Kwa akili ipi? Siwezi kumzunhumzia Salum Mwalimu maana huyo hata U Sheha hawezi seuse Umakamu wa Rais?
Nani alikwambia kwamba CHADEMA itakuja na serikali yake? Ni awamu hii tu ya kipumbavu tumeona nafasi za serikali wanapewa ma-ccm wakati chama na serikali ni vitu viwili tofauti! CHADEMA ikiingia itawatoa kwanza wale makada waliowekwa kwenye nafasi za taaluma kama DEDs, DAS n.k na kuweka wataalam kutoka kwenye taasisi husika. Nafasi za kisiasa zinajulikana hivyo watu wengi tu wa kufit kwenye nafasi wapo!Huwezi ku linganisha Tanzania tuliyo nayo mwaka 2020 na Tanzania tuliyo kuwa nayo mwaka 1961. Nyerere kuwa rais wa kwanza kuna tokana na yeye kuwa mtu aliye ongoza Tanzania kutoka katika mifumo ya ki koloni. Kupata undani wa kilicho tokea kipindi hicho ni ngumu lakini vile vile katika masuala haya ni vyema kuji uliza kama kulikuwa na mtu mwingine ambaye angekuwa sahihi zaidi kuliko mwalimu Nyerere...
Soma kichwa cha habari pamoja na maelezo. Mada kuu ni kama wana mahusiano mazuri na nchi zingine
Serikali imara ni ipi? CCM anayepiga ngoma na kuicheza ni mtu mmoja, na kila siku anachofanya ni kunyofoa na kubandika!Wana bodi,
Kampeni zime pamba moto, ahadi zina zidi ku mwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wana zidi ku serebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza kuwa fikia wapiga Kura...
Uko vizuri sana ndugu! Sidhani kama mleta mada atakuwa na swali lingine after thisUzoefu? Kipindi Nyerere anapewa nchi alikua na uzoefu wa Urais au kuongoza nchi before? Solution ilitolewa na Katiba ya warioba kuwa mawaziri wasitokane na wabunge ili kutoa nafasi kwa wataalamu kusimamie sekta nyeti..
Mkuu umeandika vizuri ila umekosea kusema wapinzani hawana uwezo wa kuunda selikari, hivi Tanzania ambayo Ina watu mil hamsini wanashindwaje kwa mfano, hata kumchukua afande Mroto kuwa waziri Mambo ya ndani itashindikana acha madharau mkuu.
Daudis,
Tatizo ni pale watu wanapodhani kuwa,wasomi wote n.a. wataalamu wa nchi hii ambao ni wengi sana na wapo kila mahali ni Mali ya chama fulani.
[emoji23][emoji23]Ha ha ha vituko plus. Hapo waziri wa pesa, moto utawaka maana mwenyekiti wa saccos anaweza zua varangati hapo. Hiyo list ndio Chadema saccos Ltd, kwa wasioijua.