Je, wasanii wetu hawawezi kubuni kitu kingine nje ya marashi?

Je, wasanii wetu hawawezi kubuni kitu kingine nje ya marashi?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?

Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.

Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?

Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).

Mada inaendelea.
 
Unauhakika na unachoandika....bumbu ya lil wayne ni kama diamond anavyoitangaza beraille tu
Hiyo kawaida mbona hushangai mbele, wasanii kama wanne wana miliki bidhaa za vilevyi Diddy ana ciroc, Lil Wayne ana Bumbu, Jay Z na Dj khaleed wote nao wana vilevyi.

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Nadhan kuna huyu publicist wa wabongo beatrice ndugu ndo atakua anawatia ujinga..idea ile ile sasa hv utasikia shetta naye katoa perfume
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?

Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.

Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?

Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).

Mada inaendelea.

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?

Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.

Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?

Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).

Mada inaendelea.
Sioni tatizo, hebu angalia list ya wasanii wanao miliki vinywaji
9 Celebrities Who Own Booze Brands
 
Iyo nayo itakuwa ya Kusaga

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Mleta Uzi wewe umeleta bidhaa gani?


1; Vanessa mdee - Viatu
2; diamond- perfume, media,Karanga
3; Alikiba- mofire
4;mwana Fa-body spray
5;Ay- usafirishaji
6; jux- mavazi
7;majizo-media
 
Umeisoma vizuri hiyo article..usijekuja nambia tu chibu perfume nayo ya diamond

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
Kwani ww hujaielewa mbona ipo wazi, usisome title soma content ndio utaielewa vizuri Wasanii kuwa na bidhaa zinazofanana sio kwamba hawana ubunifu, huwezi jua kwani kila mtu ana njia zake za kuwin soko.Hivi nikuulize, yeezy ni ya Kanye West au Adidas? Ukielewa hapa naona ndio utajua Chibu perfume ni ya nani.
 
Back
Top Bottom