Je, watafanikiwa kuwachezesha ndani ya klabu moja?

Je, watafanikiwa kuwachezesha ndani ya klabu moja?

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Mpango wa Yanga ni kuwakutanisha wote wawili Chama na Dude msimu ujao.

Je,watafanikiwa kuwachezesha wote ndani ya Club moja?

20240502_230449.jpg
 
Viongozi Yanga waache siasa zisizo na tija, scouting ya mwaka jana waingie chimbo walete wachezaji kama kina max, pacome na Yao!!

Huu ujinga wa kusajili wachezaji wanaojikuta mastaa kwenye timu utatugharimu, leta Dube Chama achana nae kabisa, tunataka timu yenye umoja, mchezaji kama Aziz k msimu huu kakiwasha Wala hana makuu, tusilete virusi
 
Back
Top Bottom