Baada ya kiini macho cha chanjo kupatikana ndani ya mwaka mmoja bila kuwepo kwa takwimu zisizotia shaka za majaribio kwenye wanyama kama panya na baadaye binadamu ambao lazima wapewe taarifa sahihi kuhusu chanjo inayofanyiwa utafiti na watoe ridhaa yao wenyewe (informed consent) na kulipwa fidia mbalimbali kwa kushiriki tu kwenye utafiti. Kila hatua lazima watoe matokeo kwenye majukwaa ya kitaaluma na kwenye mashirika ya afya ya kitaifa na kimataifa.
Mwishoni baada ya kukamilisha hatua zote za kitafiti chanjo hupata kibali kutoka WHO na mashirika ya nchi mbalimbali, mfano Marekani cha kuzalishwa ili itumike kwa watu wote waliokusudiwa.
Ninachoona hapa chanjo ghafla imefikia hatua ya majaribio kwa binadamu ndani ya mwaka mmoja pekee, halafu watu wanaombwa watoe ridhaa yao ili wachanjwe bila maelezo sahihi kuhusu hizo chanjo (uninformed consent) na bila fidia yoyote.
Na badala ya watafiti wenyewe kuhusika na huu utafiti, kinachoonekana ni serikali za mataifa mbalimbali kuhusishwa kuhamasisha watu washiriki kwenye majaribio haya.
Je, watafiti wa chanjo wamefuata maadili ya kitafiti (Research ethics involving humans) na kukamilisha taratibu na masharti yote ya kupata kibali (final approval) kutoka kwenye mashirika ya afya ya kitaifa na kimataifa? Karibuni kwa maoni...
Mwishoni baada ya kukamilisha hatua zote za kitafiti chanjo hupata kibali kutoka WHO na mashirika ya nchi mbalimbali, mfano Marekani cha kuzalishwa ili itumike kwa watu wote waliokusudiwa.
Ninachoona hapa chanjo ghafla imefikia hatua ya majaribio kwa binadamu ndani ya mwaka mmoja pekee, halafu watu wanaombwa watoe ridhaa yao ili wachanjwe bila maelezo sahihi kuhusu hizo chanjo (uninformed consent) na bila fidia yoyote.
Na badala ya watafiti wenyewe kuhusika na huu utafiti, kinachoonekana ni serikali za mataifa mbalimbali kuhusishwa kuhamasisha watu washiriki kwenye majaribio haya.
Je, watafiti wa chanjo wamefuata maadili ya kitafiti (Research ethics involving humans) na kukamilisha taratibu na masharti yote ya kupata kibali (final approval) kutoka kwenye mashirika ya afya ya kitaifa na kimataifa? Karibuni kwa maoni...