Je wataka kupendwa au kupenda? PM kwangu......

Je wataka kupendwa au kupenda? PM kwangu......

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
461
Wewe mwanawa Adam, wataka kupendwa au kupenda? PM hapa mwisho wa yote....
 
Magu
ndio nini hii dear..
Je ume delete old PMsss
Maana unavyopendwa hapa MMU
Zitaingia kwa fujo mmmhhhh
 
Magu
ndio nini hii dear..
Je ume delete old PMsss
Maana unavyopendwa hapa MMU
Zitaingia kwa fujo mmmhhhh

Sijadelete ila mhh tayari lizzy kanishambulia utadhani ule mpira wa kona duhhh
 
We embu achana na huyo tapeli....,

wewewe lizzy wewewe? tayari wewe unasubiria Magu tu aweke post uiteke...Nimekutapeli nini sasa dear? Sahau ile kitu ilikuwa uterezi tu na sio kuanguka jamani....
 
Jamani Lizzy mieBado nampenda Maguu ajili ya poemZake eti.. embu nenda kule kwenye ile thead Yako ya JF mobile

Dear utamuweza Lizzy? Aliendaga sijui kwa mganga kusaka mapenzi? aliyoyapata mie tu najua....
 
We embu achana na huyo tapeli....,

Lizzy mambo yetu ya nini hapa kwenye veranda bwana? mpaka kila mtu ajue? tuyaachie mioyoni mwetu na sio kuitana matapeli sasa....mie hata kutapeli sijui eti...
 
Magu, sasa u Sangoma au Muaguzi wa nyota za watu? Sijaelewa.
 
Umeniwahi, hata mie nilitaka nimuulize magu hili swali lol

duh inabidi nikimbie bila kuangalia nyuma hahhahahahahahaaahahahhaha......................nimeingia choo sio changu eeeh
 
usijali mpenzi, hadi unipe kibali cha kumPM ndio nitafanya hvyo. Upo poa eeh?

hapo nimetulia! Yani wewe ndiye wa moyo wangu, na ndie kila kitu. Ukinisaliti basi ujue ni kama unambeba mwanao mchanga na kumtia kwenye pipa la tindikali!
 
We ni she au he? Kabla sija ku pm?
Usije kuwa bwabwa ndugu!
 
Back
Top Bottom