Ndara Mbovu
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 155
- 83
Kawaida watu wakitalakiana wanagawana mali walizochuma.
Ikiwa mali izo zilipatikana baada ya mmoja kuchukua mkopo binafsi benki na bado anadaiwa.
Je wawili hawa wanaweza kugawana deni la mkopo pia.
NB: swala linaenda mahakamani,sheria inasemaje apo?
Ikiwa mali izo zilipatikana baada ya mmoja kuchukua mkopo binafsi benki na bado anadaiwa.
Je wawili hawa wanaweza kugawana deni la mkopo pia.
NB: swala linaenda mahakamani,sheria inasemaje apo?