Je, Watanzania mmejiandaa vipi kisaikolojia kwa ujio mpya wa Richmond (Dowans)?

Mkuu nimefurahishwa sana na uandishi wako wa kiu0weledi.

Ukiona mtu anakanusha kanusha kijingajinga thread hii ni mnufaika ama babake mzazi ni Rugemalila.

Tunachotaka, hoja kama hizi zikanushwe kwa hoja za kitakwimu siyo kutuletea hubiri sijui za amani na utulivu hapa.

Amani na utulivu ni matunda ya haki, lakini penye dhuluma huwa hapana amani wala utulivu, kama vipo basi ni vya bandia vinavyoishi kwa utetezi na propaganda za wahalifu.

Kila mwenye ubavu wa kutetea ama kukanusha hoja ya thread hii, aanze kwanza na 'catch word' ya maneno ya kusafisha majizi ya Dowans, ayaseme kwanza hayo, tupime uelewa wake wa sakata hilo ndiyo aendelee na uongo wake mwingine.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wanatumia mpaka ndege kusambaza propaganda zao_Basi meli za misaada ya chakula zipo njiani

Mpaka tuamini mwaka huu yani ukame' 'Ukame' 'Ukameeee.!

Hii awamu mpaka inaisha tutaona kila aina ya rangi
 
Mkuu maji na umeme ni mtu na mke wake.

Wakizima umeme maji hayapo.

Siku hizi Aweso waziri wa maji, anaongea pole pole sana wala hasikiki, hana tena ile Tabia yake ya kuamuru, siku hizi anabembeleza na kupet pet watumishi!

Ninabaki kujiuliza maswali yasiyo na jibu kuanzia uteuzi wa waziri wa nishati, utetezi wa Zitto juzi kuhusu mgao na upole wa ghafla wa huyu Aweso, ninakosa kiongozi wa kumuamini hapa Tz, iwe upinzani ama wa chama tawala!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kipara na ndugu zake sina imani nao hata chembe. Tunarudi kule kule tulipo toka.
 
Uandishi murua kabisa yaani hata asiyejua yaliyotokea wakati ule atajua kwenye uzi huu

Imeniuma sana kwani najua kabisa mtu mwizi na akiwa na Cheo basi ujue ule ubabe wa kupigana risasi barabarani wa Dito unarudi

Pia neno unanijjua mimi linakuja kwa kasi

Halafu hao hao watashiriki ibada za Xmas

Wale wote waliokula hela na sasa wanazitaka kwa nguvu zote
Ila tatizo hakuna la kuwafanya zaidi ya kusema safari hii hatukubali au neno lingine wataona kwenye sanduku la uchaguzi

Yaani utafikiri ni wa haki
 
Hahahahaha wala wabongo hawajachoka
Mkuu safari hii wanachokitafuta watakipata nakwambia, maana watanzania wamechoka sana, mtu aliyechoka tegemea lolote kutoka kwake, waache waendelee kubeep, watapigiwa mda si mrefu trust me watanzania wamechoka sana
 
Subiri tumsikie Makamba atafanya nini, maana ameshatangaza ukame wa kutisha, tusubiri kwanza..
 
Makamba kapambaniwa wizara ya nishati akae pale kimkakati,huyo jamaa sina imani nae kabisa...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…