Je, Watanzania mmejiandaa vipi kisaikolojia kwa ujio mpya wa Richmond (Dowans)?

Mgao umekuwa mkali sana, serikali itangaze state of national emergency, hii ni hatari kubwa kwa ukuaji wa uchumi
 
Je, IPTL inaendelea na uzalishaji hata baada ya mkataba kuisha?
 
D
Du bora... ila wakate kabisa umeme kwenda zenji maana awakawii kusema ni umeme wa fisadi rostam kumbe ni umeme wa bara pesa wanagawana.
 
D

Du nora ila bara wakate kabisa umeme kwenda zenji maana awakawihi kueema ni umeme wa fisadi rostam kumbe ni umeme wa bara pesa wanagawana.
Na ndiocho nilichowahickuonya hapa, umemeeuratoka Rufiji ila wwatasema ni wa Rosti tamu, na pesa ndio zitapigwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…