JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WA MWAKA 1964 ULIZAA TANZANIAYA SASA UMO MASHAKANI. WANASIASA, WANAHARAKATI, SERIKALI, NA WANANCHI. WOTE KWA PAMOJA WANABISHANA MITAANI, MAJUKWAANI, KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDOO YA JAMII. LAKINI NAOMBA KUKATA MZIZI WA FITINA HAPA JF. JE MNATAKA SERIKALI NGAPI. PIGA KURA HAPA...
-SERIKALI MOJA- TANZANIA
-SERIKALI MBILI - BARAZA LA MAPINDUZI NA SERIKALI YA MUUNGANO
-SERIKALI TATU- ZANZIBAR, TANGANYIKA NA SERIKALI YA MUUNGANO
:help:MODERATOR NAOMBA USIITOE HII POST TUPATE UKWELII..:help:
-SERIKALI MOJA- TANZANIA
-SERIKALI MBILI - BARAZA LA MAPINDUZI NA SERIKALI YA MUUNGANO
-SERIKALI TATU- ZANZIBAR, TANGANYIKA NA SERIKALI YA MUUNGANO
:help:MODERATOR NAOMBA USIITOE HII POST TUPATE UKWELII..:help: