Je, Watanzania tumeruhusu Wakenya wasiojua Kiswahili waharibu Kiswahili chetu?

Je, Watanzania tumeruhusu Wakenya wasiojua Kiswahili waharibu Kiswahili chetu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kuna maneno yanaanza kuzoeleka kama ya Kiswahili wakati siyo.

Utasikia mtu akisema punguza makasiriko. Kiswahili sahihi hakuna makasiriko bali hasira au ghadhabu.

Mwingine utasikia akiseme fulani ni mkora akimaanisha mwizi.

Wanasema eti kunyampa, kunyanduana na maneno mengine ya ajabu ajabu.

Yapo maneno mengi ya ovyo yanayoanza kunyemelea Kiswahili na kukinyima ladha yake na stahiki yake.

Je, inakuwaje tunaruhusu watu wasiojua Kiswahili watufundishe maneno yao ya kufinyanga?
 
Kiswahili sio mali ya Tanzania pekee

Tanzania haina hati miliki ya kiswahili

Kuna kiswahili cha Tanzania, cha kenya,cha Kongo nk

Hata kingereza kuna cha uingereza,Cha marekani nk

Kenya wana cha kwao mfano kunawa mkono wao husema kuoga mkono kwao kuosha eneo lolote la mwili huita kuoga
Unaoga mwili mzima,unaoga.mkono,unaoga mguu nk

Daladala wao huita matatu na mtu ukitaka kushuka unamwambia kondakta bwaga hapo
 
Kiswahili sio mali ya Tanzania pekee

Tanzania haina hati miliki ya kiswahili

Kuna kiswahili cha Tanzania, cha kenya,cha Kongo nk

Hata kingereza kuna cha uingereza,Cha marekani nk

Kenya wana cha kwao mfano kunawa mkono wao husema kuoga mkono kwao kuosha eneo lolote la mwili huita kuoga
Unaoga mwili mzima,unaoga.mkono,unaoga mguu nk

Daladala wao huita matatu na mtu ukitaka kushuka unamwambia kondakta bwaga hapo
Wana matumizi mabaya sana ya lugha
 
Kuna maneno yanaanza kuzoeleka kama ya Kiswahili wakati siyo.
Utasikia mtu akisema punguza makasiriko. Kiswahili sahihi hakuna makasiriko bali hasira au ghadhabu.
Mwingine utasikia akiseme fulani ni mkora akimaanisha mwizi.
Wanasema eti kunyampa, kunyanduana na maneno mengine ya ajabu ajabu.
Yapo maneno mengi ya hovyo yanayoanza kunyemelea Kiswahili na kukinyima ladha yake na stahiki yake.
Je inakuwaje tunaruhusu watu wasiojua Kiswahili watufundishe maneno yao ya kufinyanga?
So afadhali hayo kuliko jitu linaandika ela badala ya hela, apa badala ya hapa nk
 
So afadhali hayo kuliko jitu linaandika ela badala ya hela, apa badala ya hapa nk
Woooi, usiniambie babangu Yethu na Malia. Wooi, utasikia rire rinataka kuluka ukuta. Nenda kanda ya ziwa mwanangu utakufa kwa hasira. Hawa angalau wanajua maana ya maneno na kasoro yao ni lugha zao mama tuwasamehe bure tu mwanangu.
 
Mkora ni neno fasaha la Kiswahili. Ni kisawe cha mhuni.

Vilevile, maneno mengi yanayokukera ni SIMO, huja na kupotea.

Mwisho, Kiswahili siyo mali ya Tanzania pekee. Jifunze asili ya Kiswahili na lahaja zake. Na usichokijua, Wakenya na mahiri katika Kiswahili kuliko Tanzania.
 
Woooi, usiniambie babangu Yethu na Malia. Wooi, utasikia rire rinataka kuluka ukuta. Nenda kanda ya ziwa mwanangu utakufa kwa hasira. Hawa angalau wanajua maana ya maneno na kasoro yao ni lugha zao mama tuwasamehe bure tu mwanangu.
🤣 🤣 🤣
 
Kuna maneno yanaanza kuzoeleka kama ya Kiswahili wakati siyo.
Utasikia mtu akisema punguza makasiriko. Kiswahili sahihi hakuna makasiriko bali hasira au ghadhabu.
Mwingine utasikia akiseme fulani ni mkora akimaanisha mwizi.
Wanasema eti kunyampa, kunyanduana na maneno mengine ya ajabu ajabu.
Yapo maneno mengi ya hovyo yanayoanza kunyemelea Kiswahili na kukinyima ladha yake na stahiki yake.
Je inakuwaje tunaruhusu watu wasiojua Kiswahili watufundishe maneno yao ya kufinyanga?
Na hiki "kiswahili" cha "kushika simu" sijawahi kukielewa! Eti "nimejaribu kumpigia lakini hashiki (hapokei) simu"
 
Back
Top Bottom