Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

Masoud06

New Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
3
Reaction score
4

Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

 
Wewe utanufaika vipi?
 
Wewe utanufaika vipi?
Ukiangalia vizuri matumizi ya WhatsApp,X,inst Or YouTube ni platform ambazo ni bure but creator wananufaika kw a kadiri ya wingi wa matumizi ya watu kujiunga na platform hivyo hupata faida kw a matangazo nk so kunufaika ni kadiri watuamini wanavyokuwa wengi kwenye platform na utangazaji wa matangazo kwenye kama hiyo.

Mfano mwingine ni kama Bolt au Uber so hoja ya muhimu ni kulifanya soko la upangaji kuwa salama zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…