Mh jamani kuna vitu viwili hapa Gender(jinsia) and Sex(jinsi) then hii wizara iliwekwa tu kwani ilibidi iwe ni dept kwenye wizara ya maendeleo ya jamii.
Gender is to be man or a woman and sex is to be a male or a female.then ukisema gender ni mgawanyiko wa kazi utakuwa hauko sahii sana kwani kazi jamii hakuna za man au a woman.