Je, watu wa mikoani na vijijini wakianza vitimbwi wanavyofanyiwa wakienda kwa ndugu zao wa Dar patatosha?

Haya yote yanasababishwa na umasikini tu.
Kuna baadhi ya ndugu dar wana maisha mazuri kuliko lakini hawataki wageni.. hata kama wanajua ww sio mtu wa kukaa sana kwao, na una cha muhimu kilichokupeleka dar, still hawataki uende kwao..sio dar tu, hata huku mikoani kuna watu hawapendi wageni witnessj The Icebreaker wa kupuliza
 

Ulivyosema tu mkewe ni mpare nimekubali hii story ni ya kweli kabisa.
 
Hata Mimi sipendi wageni.
Wanakuja kuchunguza unaishije na mkeo especially Kama mkeo sio kabila lako wapate la kumsema.
 
Hata Mimi sipendi wageni.
Wanakuja kuchunguza unaishije na mkeo especially Kama mkeo sio kabila lako wapate la kumsema.
Saa ingine unaeza ukamwazia mtu mabaya, kumbe mwenzio hana hayo mabaya unayomuwazia.

Kwahiyo ww siku ukipata dharura, huna pesa wala sehem ya kulala, hutotaka mtu akupokee nyumbani kwake, uko radhi ulale nje, kwasababu wakikuhifadhi, utamchunguza yeye na mkewe wanaishije ili ukawaseme
Deceiver
 
Wageni hasa ndugu wanavuruga sana Ndoa!
Chunguza utaona.
 
a
Aisee pole sana Mkuu dah hao wenyeji wako walizidi jamani
 
Kuna jamaa kaamshwa asubuhi magodoro yanatolewa nje


Hahahahahahahah
Hhhaaaa kukaa kwa watu hakuna uhuru
Ila mgeni akija unatakiwa umkarimu hata kidogo basi
Sema binadamu tumekuwa wabinafsi sana
Pia tuache kwenda kwa watu kila mtu akae kwao ahahhha
 
GENTAMYCINE
 
Hhhaaaa kukaa kwa watu hakuna uhuru
Ila mgeni akija unatakiwa umkarimu hata kidogo basi
Sema binadamu tumekuwa wabinafsi sana
Pia tuache kwenda kwa watu kila mtu akae kwao ahahhha
Kuna watu hawana aibu, ataweka kambi utafikiri ndo kahamia....
 
Wapare. Hawa watu waone hivi hivi. Kuna dogo mmoja na babu yake walienda kwa babake mdogo aliyeoa mama mpare. Kumbe mmama ule ugeni akawa hakuupenda. Basi akafanya jitihada chakula kisiliwe mchana mpaka arudi kazini. Dogo akakomplein kwa baba mdogo na kuambiwa shida iko wapi? Wewe ukisikia njaa ingia jikoni pika ule na babu yako ambaye Ni baba mzazi wa dume la nyumba hapa Ni kwenu. Habari hii ikamfikia mama wa kipare aliyekua anafanya kazi tanesko.
Hapa Dar watumishi wa tanesko hawalipi umeme hivyo wengi wanapikia umeme tafauti na sisi wengine.
Babu nae licha ya kupenda mapochopocho yaliyokua yanapikwa na dogo pia alikua mpenzi sana wa tiivii hasa ITV.
MAMA WA KIPARE KAONA KUWAKATA STIMU HAWA WAGENI NI KUONDOKA NA ILE CUT OUT. Cutout Ni ka kifaa Fulani ukikaondoa pale karibu na mita umeme hauingii ndani. Basi mpare asubuhi akienda kazini anachomoa cutout inamaana nyumbani hakupikwi Wala hakuna feni na tiivii mpaka jioni akirudi. Baba mwenye nyumba alipohoji alijibiwa live bila chenga kwamba weka mita yako Kama unataka ndugu zako wataidi umeme.
Siku tatu nyingi, mzee na dogo waliomba nauli ya kurudi Kanda maalum.
 
Daah..!! Pole sana ...
 
Jamaa alikosea sana kwa hiyo walivyomfanya hvyo kipi kimeongezeka kwao au wangempa tu chakula kipi wangepoteza...mtese mtu kivingne ila swala la chakula mpe alee "naamini kwenye kutoa kuna nguvu"
 
Haya Mambo inategemea na makuzi ya mtu mwenyewe Wala sio cha Dar wala maisha magumu. Sisi tiliokulia vijijini kwa Babu na Bibi huwezi mtendea nduguyo Mambo ya ajabu anapokutembelea
 
Dah, hao ndugu zako sio wastaarabu.
 
Hahaa dah nimecheka kinoma kudaadeki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah kwahiyo wahuni wakasepa na jogoo dah
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…