Uchaguzi 2020 Je, waunga mkono juhudi mwezi wa 10 watapitishwa bila kupingwa?

Uchaguzi 2020 Je, waunga mkono juhudi mwezi wa 10 watapitishwa bila kupingwa?

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,806
Reaction score
4,370
Je,waunga juhudi mkono mwezi huu wa 10 watapita bila kupingwa?

Miaka 3 au miaka 2 iliyopita waunga mkono juhudi kwa namna moja au nyingine walipitishwa na chama cha mapindinduzi katika nafasi mbalimbali kwa dhana inayoitwa kupita bila kupigwa

Waunga juhudi mkono walipita bila kupigwa katika ngazi ya chama na pia walipita bila kupingwa katika ngazi za chaguzi mbalimbali
Swali.ambalo wananchi wengi wanajiuliza ni je,kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu mwezi wa 10 waunga mkono juhudi watapitishwa tena bila kupingwa?

Je, kwenye chama watapitishwa bila kupigwa tena?
Je, waunga mkono juhudi katika uchaguzi ngazi mbalimbali za udiwani ubunge na urais mwezi huu wa 10 je watapitishwa bila kupigwa?
Je, waunga mkono juhudi watakuwa waliuziwa mbuzi kwenye gunia?
Je, waunga mkono juhudi watakuwa wamepewa gololi nao wakagawa dhahabu bila wao kujua?

Waswahili wanamsemo usemao kuwa wajinga ndio waliwao
 
Wahunga .hivi kwa nini BAVICHA shule kwao ni tatizo
 
Watu waliokoswa kuwa na msimamo Ni vigumu mno kuaaminiwa Tena. Ukumbuke kipindi like Cha 2015 baadhi walisababisha wsliowaunga kuundiwa vyesi na hata baadhi kuumizwa na polisi. Baada ya kugeukia upande was pili hawakuwajali watu waliowasababishia mateso na hii safari ya pili waliporudi Tena kugombea mateso kwa wapinzani wao ulikuwa Mara mbili mfano Mtolea wa Kinondoni.
 
No this time around, there will be no easy ride, this time Wahamiaji watashindanishwa na wenyeji kwa kupimwa na sio kupingwawa ili wale wenye sifa zaidi ndio watapitishwa. Kupingwa ni kwenye cheke cheke ya NEC.

P
 
No this time around, there will be no easy ride, this time Wahamiaji watashindanishwa na wenyeji kwa kupimwa na sio kupingwawa ili wale wenye sifa zaidi ndio watapitishwa. Kupingwa ni kwenye cheke cheke ya NEC.

P
Nimekuelewa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom