Umebugi ee!! Msubirie tu tumbo likue!!!
Mhnn...Unajuaje kama ni bikra........
labda ilishaondolewa siku nyingi
akawa anakuzuga tu....
Andaa nepi.
Ushampa mimba huyo.
Wakuu habari zenu!
Kuna dent mmoja ambaye nimedate naye ila alinisumbua sana wakati wa ku do nasidhani kama nilifanikiwa kuvunja bikra yake kwa kuwa alikuwa akijibana mno.
Je inawezekana akashka mimba na huku bikra yake sijafanikiwa kuiondoa?
Mhnn...
Nimekumbuka mbaaaaaliiiiiiii...... Maana ulishawahi kunibaniakinachokufanya ugune!!!!!!!!