Je, Wazanzibari wanadai Uhuru?

Je, Wazanzibari wanadai Uhuru?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Sasa imekuwa kawaida kila wanapokaa na kuketi kwenye vikao utawasikia wakisema wanataka mamlaka kamili ya nchi yao,hata washereheshaji huwaga wanaimba tunataka nchi yetu sasa tumechoka ,na mitaani ndio usije ukabishana nao wanaweza kukutoa roho.
Huwa najiuliza wanataka mamlaka kamili kutoka kwa nani?

Tunataka nchi yetu sasa tumechoka, nani huyo ameichukua nchi yao na wamechoka naye?

Wanaonekana kama wamo kwenye harakati za kudai uhuru akisema raisi au makamo zake ndio imesema nchi au wananchi.
 
Nimeongea na Putin anitayarishie ndege nikadondoshe kifaranga cha [emoji317][emoji317][emoji317][emoji317]kila kaya.
Wajaribu waone

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Hao watu ujinga na kukosa exposure ndiyo kunakowasumbua. Wazanzibari waliotembea huwezi kuwasikia wakisema hayo mambo
 
Sasa imekuwa kawaida kila wanapokaa na kuketi kwenye vikao utawasikia wakisema wanataka mamlaka kamili ya nchi yao,hata washereheshaji huwaga wanaimba tunataka nchi yetu sasa tumechoka ,na mitaani ndio usije ukabishana nao wanaweza kukutoa roho.
Huwa najiuliza wanataka mamlaka kamili kutoka kwa nani?

Tunataka nchi yetu sasa tumechoka, nani huyo ameichukua nchi yao na wamechoka naye?

Wanaonekana kama wamo kwenye harakati za kudai uhuru akisema raisi au makamo zake ndio imesema nchi au wananchi.
Usiwasikilize wanaosema hayo, sio Wanzanzibari wote bali ni badhi tuu, Kamandoo Dr. Salmin aliwaita "vitimbakwiri".
P
 
Ni haki yao kudai uhuru wa nchi yao. Waendeleee mpaka waipate
Sasa imekuwa kawaida kila wanapokaa na kuketi kwenye vikao utawasikia wakisema wanataka mamlaka kamili ya nchi yao,hata washereheshaji huwaga wanaimba tunataka nchi yetu sasa tumechoka ,na mitaani ndio usije ukabishana nao wanaweza kukutoa roho.
Huwa najiuliza wanataka mamlaka kamili kutoka kwa nani?

Tunataka nchi yetu sasa tumechoka, nani huyo ameichukua nchi yao na wamechoka naye?

Wanaonekana kama wamo kwenye harakati za kudai uhuru akisema raisi au makamo zake ndio imesema nchi au wananchi.
 
Back
Top Bottom